Yan kama wachawi vile[emoji23][emoji23][emoji23]halafu ile siku unapoenda na dalali kucheki mazingira kama sehemu itakufaa huwezi kuwaona,, tia mguu sasa!
wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbni kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Sasa si umependa mazoea nao ,kula kimasihara 😅😅Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbni kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Mianzini na kwakopa moja iyo.. Bado kwa mama Zakaria [emoji23]Alafu ukute watoto wamama nyumba ya urithi wanakaa hapo kuanzia aaubuhi mpaka jioni wapo kibarazani
Na kwenye makorido,hawana shuguli ya kufanya wao akili yao kodi tu
Hapo shuguli lazima
Kama baharia kuingiza dem ni mtihani
Ova
Ngoja waje. Leo mmeamua kuwateta humu JF mnadhani hawapo humu?Yan kama wachawi vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwezi elfu 30 umeme tu. Sijui kuna wapigaji kule. Mpaka leo sijawahi kuelewa yale matumizi yanatokana na niniHizo nyumba kwenye ishu ya kuchangia umeme ni kero sana....namshukulu mungu nimetoka huko
We siyo bahariaSitasahau ile siku mchana nimetoka kuoga nikakutana na mama h/s akaniambia anapenda mgongo wangu kuwa umenyooka vizuri...Imebidi niwe naoga Alhamisi tu.Tena usiku mnene.
Htr sana,mlango wa kuingia wanakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni...Mianzini na kwakopa moja iyo.. Bado kwa mama Zakaria [emoji23]
Aiseh mim nyumba ya namna hyo siwez kuishi kabisa. Bora nipambane nipigane nipate nyumba ambayo haina mambo hayo niishi na amaniJamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbni kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.