Kero za nyumba za kupanga: Wamama wanaoshinda vibarazani/ makoridoni kwenye mikeka wanakosesha amani wapangaji wengine

Kero za nyumba za kupanga: Wamama wanaoshinda vibarazani/ makoridoni kwenye mikeka wanakosesha amani wapangaji wengine

Nakumbuka nikiwa napanga nilikuwa nawaletea pigo mpaka wanakoma kuna siku niliwaomba jamani mnapokaa basi kaeni pembeni kidogo ya mlango wangu ili ninapotaka kutoka sio naanza kuwasubiri mnyanyuke ndo nipite wakawa hawaelewi skumoja nkaweka kitu cheusi kama hirizi kwenye zulia la mlangoni walipokaa wakakiona wakakaa mbal na mlango wangu na ili niwafukuze koridoni nikaenda nunua chumvi ya mawe na udi wa kuchoma nkasubiri wamepika wamemaliza nkawaomba jiko la mkaa nkaongeza mkaa nkaingia nalo chumbani nkaweka chumvi za mawe na udi basi zikawa zinalipuka pa pa pa na moshi kibao bas wakawa hawakai tena koridoni .
Na kuna nyumba nilikua namshika jiran mkono namvuta geto namla mpka akaacha kukaa karibu na mlango wangu.
We hatari mzee
 
Mkuu,bora umeme na maji,mimi nimejikuta mfukoni mweupe baada ya kula tunda kimasihara na mtoto wa faza/hs na akaniachia UTI sugu na doz za sindano za kutosha
Bado kuna sindano ya hayo makitu? Si kuna AZUMA? [emoji23][emoji23]
 
Kuna nyumba nilihama baada ya mwezi tu kutokana na wamama. Kuna mama mmoja alikuwa mlokole akiniona tu naingia ndani anakuja kunipa ratiba za kanisani kwake na kunishauri niokoke.

Mara aniletee kikombe cha baraka chenye picha ya mchungaji wao.Mwanamke akija kunitembelea anakuja kuniuliza huyu ndiyo mkwe? Ukimjibu sio anasema hata kama ni yeye okoka Mungu akuoneshe ubavu wako.

Nikaona isiwe tabu ngoja nihame tu na kikombe chake nikakiacha.
 
Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.

Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni

Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Panga Nyumba ya pekee yako mkuu
 
Kuna nyumba nilihama baada ya mwezi tu kutokana na wamama. Kuna mama mmoja alikuwa mlokole akiniona tu naingia ndani anakuja kunipa ratiba za kanisani kwake na kunishauri niokoke.

Mara aniletee kikombe cha baraka chenye picha ya mchungaji wao.Mwanamke akija kunitembelea anakuja kuniuliza huyu ndiyo mkwe? Ukimjibu sio anasema hata kama ni yeye okoka Mungu akuoneshe ubavu wako.

Nikaona isiwe tabu ngoja nihame tu na kikombe chake nikakiacha.
Mwamba ulikosea, ungejifanya umempokea bwana.Mngefanya maombi ya pamoja.Hakika ungeiyona hazina.
 
Kuna nyumba nilihama baada ya mwezi tu kutokana na wamama. Kuna mama mmoja alikuwa mlokole akiniona tu naingia ndani anakuja kunipa ratiba za kanisani kwake na kunishauri niokoke.

Mara aniletee kikombe cha baraka chenye picha ya mchungaji wao.Mwanamke akija kunitembelea anakuja kuniuliza huyu ndiyo mkwe? Ukimjibu sio anasema hata kama ni yeye okoka Mungu akuoneshe ubavu wako.

Nikaona isiwe tabu ngoja nihame tu na kikombe chake nikakiacha.
huyo ungemletea pigo za kibedui unamvuta geto unampelekea moto yy mwenyewe ataacha mazoea
 
si useme tuu kwamba wanapenda kujifunga kanga moja tuuu ama wanavaa dera bila nguo zingine
 
Back
Top Bottom