Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mwalimu wako wa kiswahili alikufundisha kiunganishi cha 'mwa' ?Wa ❌️
Mwa ✅
Itumie kama fursa......Mko poa wakuu?
Nimekua nikisafiri mara kwa mara na mabasi yanayotoka mbeya kuja dar.
Kila nikipanda basi za huko ni kawaida kwa mtu kuachia zile shuzi za kimya kimya na harufu mbaya kusambaa ndani ya basi.
Hivi hii inatokana na nini wakuu?
Kwa❌
Nadhani ni miongoni mwa abiria na sio miongoni wa abiria. I stand to be corrected.
🤣🤣🤣🤣🤣Ndivyo mwalimu wako wa kiswahili alikufundisha kiunganishi cha 'mwa' ?
Hiki ni kiswahili sio kisukuma
🤣🤣🤣🤣🤣
Acha ubishi. Mchumba wako yu sahihi.
Ni miongoni mwa
Mmeniudhi sana😎Wa❌
Mwa✅
Mwenye afya ya mgogoro hana nguvu ya kujamba.Mko poa wakuu?
Nimekua nikisafiri mara kwa mara na mabasi yanayotoka mbeya kuja dar.
Kila nikipanda basi za huko ni kawaida kwa mtu kuachia zile shuzi za kimya kimya na harufu mbaya kusambaa ndani ya basi.
Hivi hii inatokana na nini wakuu
Mwalimu wako apunguziwe pensheni kidogo. Maana kawajaza watoto uongo.Mmeniudhi sana😎
Dereva na konda ni walewale kina mwambukusi.Mimi huwa namkakati wangu nikiamua kupanda usafiri wa umma huwa napambana nikae siti ya mbele opposite na driver. Kisha nafungua apps zangu naanza kusoma.
Yanayoendelea huko nyuma sijali.
Kamywe maji ya betri 😅Mmeniudhi sana😎
Fungulia camera ya mbele mjione wote kwenye selfieUnakaa siti moja na mtu yupo busy kuchungulia unachokifanya kwenye simu yako [emoji53]