Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Nyie mnaokuja bar kutazama mpira kuweni wastaharabu na muziki wetu, Sio mnakuja kukaa masaa mawili na soda zenu za buku na mnataka mziki uzimwe.
Nendeni vibanda umiza.
Nendeni vibanda umiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa kwenu mkuu nendeni vibanda umiza au hoteliniUpo bar asubuhi yote hii? Kuna mpira gani hapo bar ulipo hivi sasa...!?
Bar ikishaanza kuonyesha mpira tu, nasepa...yaan huwa wananikata sana, mtu umetoka nyumbani ukapige vyupa na mziki wanaanza kuzima mziki kisa mpira.Nyie mnaokuja bar kutazama mpira kuweni wastaharabu na muziki wetu, Sio mnakuja kukaa masaa mawili na soda zenu za buku na mnataka mziki uzimwe.
Nendeni vibanda umiza.
Sasa mtu hanywi bia hutaki mziki, kunywa iyo soda ya biku ndo starehe😂😂😂😂maisha haya. wapo ambao starehe zao ni kuangalia mpira bar na sio vibanda umiza
Bar ambayo Kuna Kinywaji cha Jero, Always tegemea mambo kama hayo? Wakati mwingine ni vizuri kutafuta semi-classic pub, ambazo either huwa wanatenga Lounge na Bar, of which kama kuna Mpira basi wanagawana washabiki wa Bia na washabiki wa mpira.vi energy vya buku sijui jero vinalazimisha mpira
Bar gani hzo kuna energy drinkHakuna kitu kinanikera kama hicho mie natoka zangu home nije nipige moja mbili na mziki mzuri nakuja bar kuna watu wanakunywa vi energy vya buku sijui jero vinalazimisha mpira. Neno langu huwa ni moja tu mnaweka mpira nihame au mnaendelea na mziki? hapo unakuta tuko kiringi mwenye bar anaweweseka tu....
Mwanaume gani wewe unakimbia mpira, au ndio jamii ya Juma Lokole?Bar ikishaanza kuonyesha mpira tu, nasepa...yaan huwa wananikata sana, mtu umetoka nyumbani ukapige vyupa na mziki wanaanza kuzima mziki kisa mpira.
Football is too powerful to avoidHakuna kitu kinanikera kama hicho mie natoka zangu home nije nipige moja mbili na mziki mzuri nakuja bar kuna watu wanakunywa vi energy vya buku sijui jero vinalazimisha mpira. Neno langu huwa ni moja tu mnaweka mpira nihame au mnaendelea na mziki? hapo unakuta tuko kiringi mwenye bar anaweweseka tu....
Mimi zamani nilikuwa napenda sana vibandaumiza, ila sikuhizi bar ndio mpango, ukiangalia mpira huku balimi zako 2 ziko kichwani au Kvant unasikia raha duniani[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha haya. wapo ambao starehe zao ni kuangalia mpira bar na sio vibanda umiza
Kweli, na hilo kujaa watu wa kunywa soda inatokea hasa kwenye hizi bar za mitaani, sio rahisi kuona bar za mjiniBar ambayo Kuna Kinywaji cha Jero, Always tegemea mambo kama hayo? Wakati mwingine ni vizuri kutafuta semi-classic pub, ambazo either huwa wanatenga Lounge na Bar, of which kama kuna Mpira basi wanagawana washabiki wa Bia na washabiki wa mpira.
Kuna bar isiyo na energy drink?[emoji56]Bar gani hzo kuna energy drink
Unaendaga hivi vi pub mshenzi nini mkuu
Acha mara moja ukiwa kama mtoto wa kike na mlevi usalama wako huko unakuwa upo hatarini
Wewe unasemea Redbull Power horse yeye anasemea hizi localKuna bar isiyo na energy drink?[emoji56]