Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
- Thread starter
- #21
Nyie wanywaji sio tatizo maana mnaacha hela nyingi, tatizo mtu yupo bar masaa mawili soda moja ya buku anasema zimeni mzikiMimi zamani nilikuwa napenda sana vibandaumiza, ila sikuhizi bar ndio mpango, ukiangalia mpira huku balimi zako 2 ziko kichwani au Kvant unasikia raha duniani[emoji1][emoji1]