Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
- Thread starter
-
- #21
Nyie wanywaji sio tatizo maana mnaacha hela nyingi, tatizo mtu yupo bar masaa mawili soda moja ya buku anasema zimeni mzikiMimi zamani nilikuwa napenda sana vibandaumiza, ila sikuhizi bar ndio mpango, ukiangalia mpira huku balimi zako 2 ziko kichwani au Kvant unasikia raha duniani[emoji1][emoji1]
ππππ ndio inazalisha ajira nyingi zenye kipato kikubwaUkiangalia vizuri mpira ni kama uchizi, watu 22 wanakimbiza mpira mmoja wakati mingine iko nje
SawaWewe unasemea Redbull Power horse yeye anasemea hizi local
Ww ni manager wa bar au mteja mwenzetu emb nyoosha maelezoNyie wanywaji sio tatizo maana mnaacha hela nyingi, tatizo mtu yupo bar masaa mawili soda moja ya buku anasema zimeni mziki
Kataja local za jeroKuna bar isiyo na energy drink?[emoji56]
Duh, Jambo Power na Jembe [emoji28][emoji28]Kataja local za jero
Safi mkuu. Furaha yako ndio mafanikio yako.Sasa mtu hanywi bia hutaki mziki, kunywa iyo soda ya biku ndo starehe
Mimi zamani nilikuwa napenda sana vibandaumiza, ila sikuhizi bar ndio mpango, ukiangalia mpira huku balimi zako 2 ziko kichwani au Kvant unasikia raha duniani[emoji1][emoji1]
sawaFootball is too powerful to avoid
Hahahaha noted Mkuuukiwa kama mtoto wa kike na mlevi usalama wako huko unakuwa upo hatarini
Ukiona hivyo jua wanaoangalia mpira wana nguvu. Nenda samaki samaki muziki hauzimwi hata uwe mpira gani.Nyie mnaokuja bar kutazama mpira kuweni wastaharabu na muziki wetu, Sio mnakuja kukaa masaa mawili na soda zenu za buku na mnataka mziki uzimwe.
Nendeni vibanda umiza.