Kesho (30-03-2021) ninaenda kufanya "Oral Interview" kwenye N.G.O huku Dar. Niombeeni kwa Mungu ndugu zangu, mtaani maisha ni magumu sana

Tunawaombea wote 9. Hakuna kufanya ubaguzi wa maombi kwa Mungu.
 
Wewe tayari una ajira. Inawezekana wenzako hawana hata simu janja ya kuwawezesha kuingia JF.
Huo uwezekano umeujulia wapi? Vp kama wao pia wapo humu JF lakini hawaamini katika nguvu za Mungu?

Vp kama pia walikuwa nazo simu janja ila wakahonga kwa wanawake zao. All in all, niombee kwa maana ninataka kuachana na kuendesha Taxi kwa maana hainilipi vizuri sasa hivi.
 
Mm pia ilinitokea hii hadi HRM ananoambia karibu on board na haya ndio mazingira utakayokuwepo lol mwisho wa siku napokea email We regret to inform you,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…