Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #121
Thanks brotherUtatoboa tu, trust me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks brotherUtatoboa tu, trust me
Sawa bossMm ndio HR wa hiyo kampuni nakuambia utanitambua..!!
Asante sanaInsha'Allah ikawe heri
Wamesema watatupigia simuVipi maendeleo huko.?
Hapanani ile NGO karibu na pale sayansi? chuo cha Ustawi wa jamii?
Daaah pole sana mkuuMm pia ilinitokea hii hadi HRM ananoambia karibu on board na haya ndio mazingira utakayokuwepo lol mwisho wa siku napokea email We regret to inform you,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemjibu vema sana mkuu
God be with you and all the bestHabari zenu ndugu zangu wa jamiiforums.
Kesho (30-03-2021) saa 4 asubuhi ninaenda kufanya "Oral Interview" kwenye N.G.O moja huku Dar. Niombeeni kwa Mungu ndugu zangu mtaani maisha ni magumu sana.
Tulifanya written Interview tukiwa watu 20, tumechujwa na kubaki 9 ambao kesho ndio tunapambania kombe ili wawili waibuke kidedea na 7 watakaobaki warudi tena mitaani kupambana na maisha. Je, Infantry Soldier atavuka Interview hii na kuachana na biashara yake ya kuendesha Taxi Bubu?
Mwambie Mungu anisaidie nivuke salama challenge hii kwa maana mshahara wa hawa jamaa zangu ni mnono kweli kweli.
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo. Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa...www.jamiiforums.com
ThanksGod be with you and all the best
Msamehe bure mkuuWacha kutaja majina ya wanaume rijali ukiwa kwenye unyahuni wako, nyang'au wewe
Hata mimi nimeshangaa sana mkuuvipi tena mkuu
Thank bossHusijali unaenda kutoboa
ThanksKila la kheri
Uzalendo ni kitu muhimu sana bossKUMBUKA TU '' Kuwa Mzalendo, uipende nchi yako''
Daaah, kwa saa 50,000? Tanzania hii hii mkuu?Mie wenge mkuu, ilikuwa kwa mwezi hiyo.. 😀😀😀😀.. wakati wadau wanalipa kwa saa
Hii sio sahihi Soja amevunja Ego yake mpaka kuja hapa (kajishusha) inapaswa apandishwe pekeyake.Tunawaombea wote 9. Hakuna kufanya ubaguzi wa maombi kwa Mungu.
Aina noma boss ..mambo yataenda vizuri utapata kazi usihofu tena.Mimi ni dereva Taxi tangu mwaka 2019 sema Bajaj ndio zinaleta upinzani na kufanya biashara kuwa ngumu.