Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Ndugu mbona unakata tamaa mapema! Kufeli kwako sio kufeli kwa katiba. Kura ya maoni ipo palepale,jiandae kwa kampeni hapo kesho. Kama huna nauli ya kwenda kushiriki uzinduzi inabidi unitafute nikufadhili ndugu yangu mwenye kukata tamaa. Katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima. Kupita kwake sio ombi bali ni lazima. Kila la kheriKatiba ishafeli,hakuna kitu