Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
sasa mbona hamtoi hiyo elimu, me nnachoona hapo mtu akitotofautiana na mawazo yenu tu mnampa mipasho badala ya kumpa hiyo elimu.
Mtu akitofautiana na mnachikiamini haitakiwi mumshambulie ila inatakiwa mumjibu kwa hoja huo ndo u'great thinker
duu pole ndugu, lakini si umeshaisoma katiba inayopendekezwa surazote 19?