Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Wekeni ushahidi wa huyo mfu au alikuwa baba yenu?mkuu ni kweli katika mambo yasiyowezekana kokote yawezekana tanzania kama mfu alipiga kura na kuwa counted do you think nini kitawashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni ushahidi wa huyo mfu au alikuwa baba yenu?mkuu ni kweli katika mambo yasiyowezekana kokote yawezekana tanzania kama mfu alipiga kura na kuwa counted do you think nini kitawashinda
Ndo akili yako iko hivyo kama nyoka wa namna hiyo kama huna jipya zaidi ya matuc ya ajabu, soma katiba na upige kura ya ndiyo.Mkuu waambie hao, kura zisipotee kabisa. Mimi binafsi kura yangu ni HAPANA kwa katiba ya gaba chori joka lenye makengeza mwizi mkubwa!!
kweli MAPUNGUANI mpo wengiNdo akili yako iko hivyo kama nyoka wa namna hiyo kama huna jipya zaidi ya matuc ya ajabu, soma katiba na upige kura ya ndiyo.
Kila kitu kinaenda kadri kilivyopanga ondoa mashaka yako huo upunguani unao wewe, sasa endelea kuisoma katiba kisha uje kupiga kura ya ndiyoooooookweli MAPUNGUANI mpo wengi
yaani bora ya nyoka hata anajielewa kuwa anaenda shomo gani kuliko pinguani asiyejua aendako
jIANDIKISHE KWANZA NA UISOME KATIBA PENDEKEZWA kabla ya kupiga kura ua NDIO
- umeshaandikishwa katika Daftari la wapiga kura?
- Huo Mkoa mmoja wa Njombe wameshaandikishwa wote
- kupiga kura ya HAPANA sio dhambi bali ni kutaka jambo hili lije kwa usahihi, ukweli na uwazi sio kuminyaminya kam six alivyolipeleka puta
- leo vipengele na miswada inaongezwa kinyemela ninyi mnakimbilia NDIYOOOOOOOOOOOO
Ondoa shaka mtanzania wewe, kwani hata redio huna? Kila kitu kimepangwa kama kilivyo ondoa mashaka ndugu mambo yatakwenda vizuri, kwa sasa endelea kuisoma katiba hiyo uielewe kisha subiria utaratibu utakao kuja ili uje kupiga kura ya ndiyo kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa manufaa yako na vizazi vyako hapo baadae.Tbc wanatoa elimu ni wangapi weye televishe?na huu umeme kila siku kukatika unafikiri kuna katiba hapo?haiwezekani kupiga kura hiyo tarehe,na pia tutapiga kwa vitambulisho vipi?wengi hatujaandikishwa na sasa ni haki yetu ya msingi kuandikishwa na kupiga kura maana umri umefika.
Ondoa shaka mtanzania wewe, kwani hata redio huna? Kila kitu kimepangwa kama kilivyo ondoa mashaka ndugu mambo yatakwenda vizuri, kwa sasa endelea kuisoma katiba hiyo uielewe kisha subiria utaratibu utakao kuja ili uje kupiga kura ya ndiyo kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa manufaa yako na vizazi vyako hapo baadae.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kura ya Maoni kampeni za NDIO na HAPANA zinaanza Kesho tarehe 31 Machi, maana kampeni ni siku 30 kabla ya siku ya kupiga kura ya maoni ambayo ni Aprili 30.
Je unaijua kamati yako ya ndio au hapana?
Je mmetangaziwa lolote na Tume ya Uchaguzi juu ya kuanza kwa kampeni?
Kama hapana,
kataa mwenendo wa maisha ya kuvunja sheria, kwa namna maandalizi yalivyo hatuwezi kuwa na Kura ya Maoni bora.
kila siku tbc wanarusha hiyo ndiyo kampeini ndugu
say no to joka lenye upofu wa akili
Mtaongea sana lakini hamtashinda, katiba hii inapitaaaaaaankwankura nyingi za ndiyooooosay no to joka lenye upofu wa akili
Kwa hali ilivyo Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) tuna kipindi kigumu na kama Mungu hajaingilia kati basi kuna vurugu kubwa ambayo tutashindwa kuituliza. Tunahitaji hekima ya Kiungu. Mungu awabariki ndugu zangu.
bado siku 30 tukachague katiba mpya