Tetesi: Kesho CCM Wanakutana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam

Tetesi: Kesho CCM Wanakutana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Hao wanaosema vurugu zilitokea, na ukawa walishiriki vurugu, chanzo cha vurugu ni mkurugenzi. Waliomshikilia halima wamuache baldala yake mkurugenzi ashikiliwe.

sio interest yao kumkamata huyo wala kumshitaki huyo kwa sababu hii ndiyo plan yao kuvuruga ili wachaguane wao au kuunda tume kuongoza jiji.

UKAWA wanatakiwa wajue kuwa hii ni vita na waweze ku act very smart....CCM wameshawazoea UKAWA kuwa watalalamika tuuuu...na malalamiko wala hayawasumbui wao..Wanajua mtalalamika mtanyamaza.

Hatua Ichukuliwe na wanasheria wa CHADEMA

Pia CHADEMA wahamasishe wananchi wadai haki yao barabarani.......kwa sababu ni wananchi ndio waliwapa ridhaa ya kuwaongoza...why wawe wanyonge

Pia Mbowe is being toooo soft....CCM haihitaji kwenda sooooft Hivi...Si unaona Lema alivyowaweza Arusha...he was not soft
 
sio interest yao kumkamata huyo wala kumshitaki huyo kwa sababu hii ndiyo plan yao kuvuruga ili wachaguane wao au kuunda tume kuongoza jiji.

UKAWA wanatakiwa wajue kuwa hii ni vita na waweze ku act very smart....CCM wameshawazoea UKAWA kuwa watalalamika tuuuu...na malalamiko wala hayawasumbui wao..Wanajua mtalalamika mtanyamaza.

Hatua Ichukuliwe na wanasheria wa CHADEMA

Pia CHADEMA wahamasishe wananchi wadai haki yao barabarani.......kwa sababu ni wananchi ndio waliwapa ridhaa ya kuwaongoza...why wawe wanyonge

Pia Mbowe is being toooo soft....CCM haihitaji kwenda sooooft Hivi...Si unaona Lema alivyowaweza Arusha...he was not soft
Ni kweli mkuu usemacho ila kwa Dar kuingia barabarani ni ngumu, huku Arusha watu walisha amua ccm basi hata kwa nguvu gani hawawezi tena upoka maamuzi yetu, huo umeya ungekuwa unafanyika Arusha nakuhakikishia hilo jengo lingezungukwa na umati wa watu wakisubiri kumshangilia meya wao, hata askari wangepambana nao kivipi wasinge weza wazuia, na hii ingesaidia kufanya uchaguzi ufanyike kuepusha vurugu jijini, sasa huko Dar watu wanakimbia panya road ndio itakuwa mtutu wa polisi? Watu waingie roadini wadai haki yao. Arusha watu walijazana kwenye jengo la halmashauri wakati walipo taka kumpora Lema ushindi mpaka RPC akamshurutisha mgombea wakati huo Batilda asign form ya matokeo kuepusha vurugu! ccm wamesha wapima uwezo wana Dar wamewaona waoga ndio maana wanawachezea hivi.
 
Mkakati mkubwa wa JPM ni kupambana na ufisadi lakini inasikitisha kuona watu na taasisi anazoshirikiana nazo kufanya kazi wanavunja sheria za nchi waziwazi ili kulinda ufisadi na mafisadi wachache kwa maslahi ya familia chache.
Alisema atawalinda.Na anaendelea kuwalinda na ataendelea kuwalinda.Hivyo in short anaendelea kuwalinda Wezi wa Mali za Umma
 
Hivi CCM mbona hawataki kuheshimu maamuzi ya wananchi, ambao ndiyo waliwachagua kwa wingi madiwani wa UKAWA.Kwa nini wasikae pembeni kuheshimu maamuzi ya wananchi mambo kama haya yanakera japo mimi siyo ukawa na sitakuja kuwa ukawa lakini kwenye ukweli lazima tuseme.
 
12814748_197037200661225_8952184367895576590_n.jpg
Mbona hueleweki au ni ishara za kifisi
 
Hivi CCM mbona hawataki kuheshimu maamuzi ya wananchi, ambao ndiyo waliwachagua kwa wingi madiwani wa UKAWA.Kwa nini wasikae pembeni kuheshimu maamuzi ya wananchi mambo kama haya yanakera japo mimi siyo ukawa na sitakuja kuwa ukawa lakini kwenye ukweli lazima tuseme.
Wanafikiri baado wapo kwenye mfumo wa chama kimoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom