Tetesi: Kesho CCM Wanakutana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam

Tetesi: Kesho CCM Wanakutana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Mimi ile wik ya kwanza ya magu baada kuapishwa aisee nilisema upinzan unakufa kwa watakosa hoja kutokana na Rais wetu haachi doa sehem anafanya kaz kwa ueled na vile inavyotakiwa kumbee mmmmh yan ccm ni ile ilee cjui kwann wanawapa upinzan sabab za kuongea na kupata umaarufu,,,ccm ingejua inauwezo wa kuongoza nchi kwa ueled na usawa na haki na upinzan ukajifia wenyewe wacngefanya haya yan,,,mi nina hakika ccm wakifanya kaz kwa hak na ueled upinzan utakufa kifo kibaya sana mnawapa sabab upinzan na mambo ka haya ndo yanafanya upinzan ustawi, hamjui tu hiz figisu figusi ni kama mbolea ya kustawisha upinzan c mtaona!
Maigizo and Mazingaombwe on work
 
Huu uhuni hauvumiliki, huyu mkurugenzi mpaka sasa alitakiwa awe mahakamani kwa kuisingizia mahakama uongo, hivi wale waliokuwa wanaomba amani wamekwenda wapi? Ule unafiki umeonekana sasa huyu polepole mbona yuko kimya now? aseme kama kati ya hwa wana ukawa kuna fisadi maana yeye ndio mkweli kwa ccm now, aje aseme kwa kuwa anajidai kuipenda sna TANZANIA, hivi anawezaje kuipenda TANZANIA pasipo kuipenda DAR ES SALAAM?
 
Huu uhuni hauvumiliki, huyu mkurugenzi mpaka sasa alitakiwa awe mahakamani kwa kuisingizia mahakama uongo, hivi wale waliokuwa wanaomba amani wamekwenda wapi? Ule unafiki umeonekana sasa huyu polepole mbona yuko kimya now? aseme kama kati ya hwa wana ukawa kuna fisadi maana yeye ndio mkweli kwa ccm now, aje aseme kwa kuwa anajidai kuipenda sna TANZANIA, hivi anawezaje kuipenda TANZANIA pasipo kuipenda DAR ES SALAAM?
Kwenye hili mdomo utaingia barafu
 
Wanahangaika tu bila ukawa akidi aiwezi kutimia labda wachague meya Wa Lumumba siyo Wa jiji la dar
Kwa ccm akidi ni msamiati, umesahau mswaada uliopitishwa bungeni na wabunge wasiozidi 50 bado raisi aliusaini na wanasheria wa kakaa kimya na kuwa sheria!!!!
 
Mkuu
Hilo hawajalifikiria la column maana column inabidi izidi nusu au 2/3 ambapo CCM peke yao hawawezi kupata Naona hilo bado hawajaliona.
Mkuu hawakawii kuimport wajumbe hawa
 
Mkakati mkubwa wa JPM ni kupambana na ufisadi lakini inasikitisha kuona watu na taasisi anazoshirikiana nazo kufanya kazi wanavunja sheria za nchi waziwazi ili kulinda ufisadi na mafisadi wachache kwa maslahi ya familia chache.
 
Mie nashauri haao watakaoshinda kwa goli la mkono wa laana ya CCM wauwawe iliwakome kutegema ujambazi...huu ni wizi na hauvumiliki...shamless CCM I hate you....sidhani magufuli kama unashabikia huu upuuzi...nauliza hawezekani kushtaki hawa panya wa kijani mahakama ya kimataifa? Kilombero wanaweza kujivunia nini?
 
wakishapanga tarehe ya uchaguzi bila ya waliokamatwa kuachiwa UKAWA waende mahakamani kuzuia uchaguzi hadi wawakilishi wao watakapoachiwa

Lisu na Mallya kazi kwenu kuhakikisha makamada wote wanahudhuria uchaguzi bila figisufigisu
 
Huu uhuni hauvumiliki, huyu mkurugenzi mpaka sasa alitakiwa awe mahakamani kwa kuisingizia mahakama uongo, hivi wale waliokuwa wanaomba amani wamekwenda wapi? Ule unafiki umeonekana sasa huyu polepole mbona yuko kimya now? aseme kama kati ya hwa wana ukawa kuna fisadi maana yeye ndio mkweli kwa ccm now, aje aseme kwa kuwa anajidai kuipenda sna TANZANIA, hivi anawezaje kuipenda TANZANIA pasipo kuipenda DAR ES SALAAM?

Nani anatakiwa amshitaki?
 
wakishapanga tarehe ya uchaguzi bila ya waliokamatwa kuachiwa UKAWA waende mahakamani kuzuia uchaguzi hadi wawakilishi wao watakapoachiwa

Lisu na Mallya kazi kwenu kuhakikisha makamada wote wanahudhuria uchaguzi bila figisufigisu
Ccm wanahila sana
 
12814748_197037200661225_8952184367895576590_n.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom