Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
watafanya..ukawa wachukue hatua..hi kamata kamata ni ya nini?Wanahangaika tu bila ukawa akidi aiwezi kutimia labda wachague meya Wa Lumumba siyo Wa jiji la dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watafanya..ukawa wachukue hatua..hi kamata kamata ni ya nini?Wanahangaika tu bila ukawa akidi aiwezi kutimia labda wachague meya Wa Lumumba siyo Wa jiji la dar
kwani hujui column ilitimizwa kwenye bunge la katibaHilo hawajalifikiria la column maana column inabidi izidi nusu au 2/3 ambapo CCM peke yao hawawezi kupata Naona hilo bado hawajaliona.
Wanafikiri watafundisha woga Makamanda wa chademawatafanya..ukawa wachukue hatua..hi kamata kamata ni ya nini?
CCM wanatumia polisi kutimiza azma Yao bila ukawa kuchukua hatua itakuwa kazi bure....hi mikwara kama yako kwenye social media haisaidiiWanafikiri watafundisha woga Makamanda wa chadema
Ni kuwafundisha uoga ukawa wawakazie mpaka kieleweeke wasiingie ukumbini mpaka watimbie wote hili akidi isitimie wavunje Sheriawatafanya..ukawa wachukue hatua..hi kamata kamata ni ya nini?
Umeya akunawa kura za fax wala marehemu kama alivyofanya six kwenye bunge la katiba ata mfanyaje meya wa jiji ukawaUmesahau bunge la katiba??
hahaha dah mbavu zanguNatamani wamarekani waje waangushe hiroshima pale rumumba kile kizazi chote kipotee
Lakini wanajivua nguo kuonyesha kile aalichofanya tarehe 25/10/2015CCM wanatumia polisi kutimiza azma Yao bila ukawa kuchukua hatua itakuwa kazi bure....hi mikwara kama yako kwenye social media haisaidii
hata wakijivua nguo kwani makondoo ya kitanzania yatafanya nini?Lakini wanajivua nguo kuonyesha kile aalichofanya tarehe 25/10/2015
Zidi kutafuta habari mkuu Chama cha mapinduzi ni zaidi ya mapinduzi tunoyajua sie,MKUU NIFUMBULIE HILI FUMBO
Mkuu hata nchi za wenzetu yalianza hivi hivihata wakijivua nguo kwani makondoo ya kitanzania yatafanya nini?
Nitakuletea moja kwamoja live bila chenga maana mimi simumunyi manenoZidi kutafuta habari mkuu Chama cha mapinduzi ni zaidi ya mapinduzi tunoyajua sie,
Kila LA Kheri Na imani utayajua mengi, ila kuwa makini Na bahasha za kakiNitakuletea moja kwamoja live bila chenga maana mimi simumunyi maneno
Hamuwapi kwa sababu sio watanzania hawana haki au, mwatumia kigezo ganiUKAWA Hamuwezi kupewa Umeya wa Jiji wala Umakamu... Habari ndio hiyo.... bora muache kujisumbua hatuangalii mpo wangapi.... ni sawa na kupewa Zanzibar hamapati kwa njia ya makaratasi.... poleni... Mshukuruni Lowassa Nguvu ilikuwa kwake ndio maana mmepeta Madiwani na wabunge kwa Wingi.... ila Mngelia kilio cha Samaki
Sasa mnafanyaga uchaguzi kufurahisha mataifa ya nje?UKAWA Hamuwezi kupewa Umeya wa Jiji wala Umakamu... Habari ndio hiyo.... bora muache kujisumbua hatuangalii mpo wangapi.... ni sawa na kupewa Zanzibar hamapati kwa njia ya makaratasi.... poleni... Mshukuruni Lowassa Nguvu ilikuwa kwake ndio maana mmepeta Madiwani na wabunge kwa Wingi.... ila Mngelia kilio cha Samaki
Mkuu wananijua mrengo wanguKila LA Kheri Na imani utayajua mengi, ila kuwa makini Na bahasha za kaki
He he he acha nicheke tu, sio tatizo mrengo wako ni UPI, lkn shetani ana nguvu Na Mungu ana nguvu, zaidi ya yote uwe Na nguvu ya kushinda vishawishi, hata kuwapo Na hatari ya maisha yako, usimamie hakiMkuu wananijua mrengo wangu