Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
- Thread starter
- #21
Ungemfuata pmMkuu, nikikaa kimya eti kwa kuwa nimeelewa habari iliyokosewa nitakuwa sijalitendea haki jukwaa hili. Mimi ni mkongwe humu, kuachia wrong information zisambae kwangu ni usaliti, tena unaozidi ule wa HP