Tetesi: Kesho huenda kukawa na Maandamano ya Vijana Kenya kupinga Utekaji, wameandaa wenyewe bila Wanasiasa.Njoo Tanzania tunamtafuta mtu wa kutuandamania

Tetesi: Kesho huenda kukawa na Maandamano ya Vijana Kenya kupinga Utekaji, wameandaa wenyewe bila Wanasiasa.Njoo Tanzania tunamtafuta mtu wa kutuandamania

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nitarudia hili mala trilion , Tatizo la Tanzania sio kukosa upinzani imara au watu imara au Chama imara bali ni kukosa raia walio tiyali kupigania nchi, kumejaa keybord worrior tu.

Vijana wa Kenya wana set maandamano Kesho wao wenyewe kwenye socia media na wanaingia road wenyewe, bila mwanasiasa, hawategemea mwanasiasa pigia msatari neno HAWATEGEMEI MWANASIASA, huku ni anatafutwa mtu wa kufanya hio kazi kwa niaba yetu sisi keybord worrior wa hili Taifa.

Huku lawama anaangushiwa mtu mmoja wa upinzani kwamba ndio sababu ya watu kutekwa, ndio sababu ya vijana kukosa ajira.

Au tunatafuta kivuli cha kujificha na kuanza kutoa lawama kwa Mtu kana kwamba kazaliwa na Mama yake Mzazi aje kutusemea sisi tukiwa tumelala au tukiwa busy na Yanga na Simba.

Yaani Bongo sasa tuko chimbo tunatafuta mtu atakaye kuwa anatuandamania ilihali sisi tukiwa busy na story za Yanga na Simba hivyo tupate mtu sahihi wa kutuandamania na ikifika saa 2 jioni tunakaa kwwnye tv kuangalia huyo mtu alivyo tuandamania.

Narudia tena na tena hata aje Yesu, Tanzania harakari hatuwezi, hatuwezi na ni kujifariji kuzania kuna mtu atafanya kazi ya maandamano kwa niaba.

Vijana wa Kenya Maandamano ni kama.maji wasipo yanywa watayaogea, wako tiyari wakati wowote ule hata saa 8 za usiku.
 
Muda au majira ndo huwa yanaamua kipi kifanyike.

Ni kosa kusema vijana wa Tz hawana akili au uthubutu.
Upo sahihi, Kuna siku itakuja, bila kuambiwa bila kuhamasishwa, Watanzania wataingia barabarani.

That will take place when huge numberer of Tz citizens, experiencing the common problem, will come with great percentage of political awareness.

Hapo hapatakuwa na Polisi, jeshi which will be capable to prevent wave of revolution.

Magari ya kuwasha, tears gas will automatically became useless.

Wakati Askari polisi wataficha uniform , na ku surrender , au wataungana na waandamandaji.

Hapo ndipo patakuwa na kilio kikuu kutoka nyumba kuu ya malkia wa VYURA akiomba maridhiano halisi, though atakuwa kachelewa sana.

History is very good displine but people aren't ready to learn from history.

Natamani MIZENGO PINDA aseme alichoona BOTSWANA uchaguzi mkuu, ya chama tawala kuanguka.

wajifunze ushindi Mwembamba wa Namibia.

Tanzania is going bto write history, that will be unforgettable history,.

King Luis wa Ufaransa, watu walipokuwa wanaandama ,akawa anachungulia kutoka kwenye PALACE, alipokuwa anafanya state Banguate, anashangaa, mke wake Marrie
Antoniette anashangaa eti wanaandama hawana mkate.

Akawa anasema "Why don't you give them cake"😃😃 alikuwa anafananisha na menu za King's PALACE.

🤔🤔🤔🤔 we shall overcome.....🚴🚴🚴🚴
 
Chama Dola kitatawala milele na milele aamen! Wa kuandamana hapa Kwa mama Tanzania hajazaliwa bado, zaidi ni kizazi cha uchawa na sie keyboard heros
 
Huku tunamlaumu Mbowe haleti maandamo. Hata akiitisha bado anaenda yeye mwenyewe.

Sisi ndo watanzania tunajua kubonga sana.
 
Nitarudia hili mala trilion , Tatizo la Tanzania sio kukosa upinzani imara au watu imara au Chama imara bali ni kukosa raia walio tiyali kupigania nchi, kumejaa keybord worrior tu.

Vijana wa Kenya wana set maandamano Kesho wao wenyewe kwenye socia media na wanaingia road wenyewe, bila mwanasiasa, hawategemea mwanasiasa pigia msatari neno HAWATEGEMEI MWANASIASA, huku ni anatafutwa mtu wa kufanya hio kazi kwa niaba yetu sisi keybord worrior wa hili Taifa.

Huku lawama anaangushiwa mtu mmoja wa upinzani kwamba ndio sababu ya watu kutekwa, ndio sababu ya vijana kukosa ajira.

Au tunatafuta kivuli cha kujificha na kuanza kutoa lawama kwa Mtu kana kwamba kazaliwa na Mama yake Mzazi aje kutusemea sisi tukiwa tumelala au tukiwa busy na Yanga na Simba.

Yaani Bongo sasa tuko chimbo tunatafuta mtu atakaye kuwa anatuandamania ilihali sisi tukiwa busy na story za Yanga na Simba hivyo tupate mtu sahihi wa kutuandamania na ikifika saa 2 jioni tunakaa kwwnye tv kuangalia huyo mtu alivyo tuandamania.

Narudia tena na tena hata aje Yesu, Tanzania harakari hatuwezi, hatuwezi na ni kujifariji kuzania kuna mtu atafanya kazi ya maandamano kwa niaba.

Vijana wa Kenya Maandamano ni kama.maji wasipo yanywa watayaogea, wako tiyari wakati wowote ule hata saa 8 za usiku.
Nimependa idea na content yako. Kwa kweli kuna ukweli asilimia 100..
 
... maandamano na vurugu za kisiasa ni zao linalongojewa sana kuvunwa na wanasiasa, shida inakuja kwenye gharama za mbolea, madawa na muda wa kusubiria zao liive!
😅 :AweeWoo: ... kama jini halipandi msitumie bange kilipandisha kwa nguvu!
 
Back
Top Bottom