Kesho Irene Uwoya akihitaji mchango wa matibabu utatoa sh ngapi?

Kesho Irene Uwoya akihitaji mchango wa matibabu utatoa sh ngapi?

Kwahiyo ulichungulia kisambusa cha shemejio?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bongo hata kuna vitu hutaki jihusisha navyo, utalazimishwa tu. Kuna jamaa yangu alinitumia whatsapp huku akiniambia check hiyo video kwa msisitizo sana
 
Nilikua nakutega tu, kwa hiyo unafikiri mimi sijakiona? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sema nini ni mtu peace sana, hana shida kabisa

Alafu huyo shemejio na shogaake aliyekufa walimsumbua sister angu walikuwa wanamchuna mtoto wetu, Prado lake anazulula nalo janjaro na miss kipilipili na aliwalipia kodi Makongo!

Wasanii km huwajui unaweza kujiona fala wa mwisho kwenye utafutaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alafu huyo shemejio na shogaake aliyekufa walimsumbua sister angu walikuwa wanamchuna mtoto wetu, Prado lake anazulula nalo janjaro na miss kipilipili na aliwalipia kodi Makongo!

Wasanii km huwajui unaweza kujiona fala wa mwisho kwenye utafutaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora Irene kidogo yupo vizuri, agness hakua vizuri kabisa.

Unajua wengi wanahisi wasanii wana pesa, maisha ni ya kawaida kama wengine tu
 
Back
Top Bottom