Kesho Irene Uwoya akihitaji mchango wa matibabu utatoa sh ngapi?

Kesho Irene Uwoya akihitaji mchango wa matibabu utatoa sh ngapi?

Wenye majivuno ya hivyo
Asilimia kubwa Ni malimbukeni walotokea maisha duni Sana uko chimbuko lao
 
Wanatafutaje, maana wanalia bongo movie hazilipi ila kutwa wanashinda Dubai
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Msanii anakaduka ka nguo Sinza au Kino kapo location ya ajabu ila kapaki RANGE ROVER ukithamisha hakafiki 25M

Watupe siri na dada zetu waende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
 
Hakuna watu waenda kwa waganga kusafisha nyota kama hao watu,wanajifanya hawaijui manzese,mbagala na chanika ila huko ndo Kuna machimbo ya waganga wao kuwasafisha nyota hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mganga wa mama K ni kibokoo, sio kwa kumvuruga boss wa kidimbwi FC. woiiiiih
 
Hapana, huwa naliona jina tu kwenye mtandao.

Ni nani, namaanisha, Mwana siasa, mfanya biashara, msanii, mcheza sinema au ni muuza mwili maarufu? Kama Wema Sepetu.
Nimechekaa hadi kupaliwaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mganga wa mama K ni kibokoo, sio kwa kumvuruga boss wa kidimbwi FC. woiiiiih
Ngoja ..yule tajiri wa madini uwoya kamtema?!!!maaana enzi zile anawapa kula kina Aristoteee alikua na huyoo mwamba tajiri wa madini ..karudi Kwa Salah
Wanaroga hao balaaa ..Hawa wasanii wasikutishe dadaaa...nna stori Moja naogopa kuitoa hapa ila mhhh
 
Back
Top Bottom