Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama K hawezi acha kuji upgrade kila leo, ataishi vipi mjini. Achaa achezee pesa, uzuri kwao wanajiweza weza hata akikosa madanga anatulizanaa kwao.Ngoja ..yule tajiri wa madini uwoya kamtema?!!!maaana enzi zile anawapa kula kina Aristoteee alikua na huyoo mwamba tajiri wa madini ..karudi Kwa Salah
Wanaroga hao balaaa ..Hawa wasanii wasikutishe dadaaa...nna stori Moja naogopa kuitoa hapa ila mhhh
Mdini mwenzakoHapana, huwa naliona jina tu kwenye mtandao.
Ni nani, namaanisha, Mwana siasa, mfanya biashara, msanii, mcheza sinema au ni muuza mwili maarufu? Kama Wema Sepetu.
Mdini atauza mwili wake?Mdini mwenzako
Huyu dada sidhani kama anaigiza tena. Hatumuoni kwenye movies, atakuwa kapata kazi nyingine.Wanatafutaje, maana wanalia bongo movie hazilipi ila kutwa wanashinda Dubai
🤣🤣🤣🤣🤣
Msanii anakaduka ka nguo Sinza au Kino kapo location ya ajabu ila kapaki RANGE ROVER ukithamisha hakafiki 25M
Watupe siri na dada zetu waende
Alichoandika ni sahihi kabisa, hamna kashfa au tusi hapo.
NdioMdini atauza mwili wake?
Kuna mahali Tanzania tulikosea sana sana. Hlafu kwa upande mwingine umalaya unalipa sana Bongo. Unaona wanawake wanavyopishana kwenda kufanyiwa surgery ili wawe na maumbo, matiti na sura nzuri? Inatisha! Halafu siku hizi hakuna tena aibu. Unasikia mwanamke anasema kabisa haya matiti ikifika mwaka ujao nakwenda kuyabadilisha yasimame.BAHATI MBAYA HAWA WAJINGA NDIO HUWA TUNAWASIKILIZA NA KUWAFUATILIA ZAIDI.
TANZANIA YANGU.
Yaana unatafuta kama wewe ndio umeipoteza.Kaongea ukweli mtupu,pesa inatakiwa itafutwe kwa nguvu zote.
Dah![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana, huwa naliona jina tu kwenye mtandao.
Ni nani, namaanisha, Mwana siasa, mfanya biashara, msanii, mcheza sinema au ni muuza mwili maarufu? Kama Wema Sepetu.
nimeandika na kufuta.
Tuseme dogo janja yupo gridi ya taifa🤔🤔🤔 sidhani nadhani yaweza kua hisia tuAfu nasikia alishaungua? Aisee....ila ni kweli money is everything
SadTuseme dogo janja yupo gridi ya taifa🤔🤔🤔 sidhani nadhani yaweza kua hisia tu
Kwao Pesa ya kawaida Mzee kastaafu ila Irene siku Hizi ana kibri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama K hawezi acha kuji upgrade kila leo, ataishi vipi mjini. Achaa achezee pesa, uzuri kwao wanajiweza weza hata akikosa madanga anatulizanaa kwao.