Kesho Irene Uwoya akihitaji mchango wa matibabu utatoa sh ngapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama K hawezi acha kuji upgrade kila leo, ataishi vipi mjini. Achaa achezee pesa, uzuri kwao wanajiweza weza hata akikosa madanga anatulizanaa kwao.
 
Huyu dada sidhani kama anaigiza tena. Hatumuoni kwenye movies, atakuwa kapata kazi nyingine.
Kwenye bongo movies kwa sasa hayupo
 
Hela za Kuhongwaaa nazo ni helaaa[emoji1][emoji1][emoji1] Siku akitembeza bakuli kimeumana usishangaee maana ofisi ni mwili wakeeee...Akiwa hoi nani ataosuguaaa sasaa hata bure???
 
BAHATI MBAYA HAWA WAJINGA NDIO HUWA TUNAWASIKILIZA NA KUWAFUATILIA ZAIDI.

TANZANIA YANGU.
Kuna mahali Tanzania tulikosea sana sana. Hlafu kwa upande mwingine umalaya unalipa sana Bongo. Unaona wanawake wanavyopishana kwenda kufanyiwa surgery ili wawe na maumbo, matiti na sura nzuri? Inatisha! Halafu siku hizi hakuna tena aibu. Unasikia mwanamke anasema kabisa haya matiti ikifika mwaka ujao nakwenda kuyabadilisha yasimame.
 
Hapana, huwa naliona jina tu kwenye mtandao.

Ni nani, namaanisha, Mwana siasa, mfanya biashara, msanii, mcheza sinema au ni muuza mwili maarufu? Kama Wema Sepetu.
Dah![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Irene ni mpuuzi mmoja mtafuta kiki ,hawa ndiyo bank akiwa na milioni 20 anajiona ni tajiri....Kuna kipindi nilikuta njiani anatembelea benz jeusi bovu lina mikelele kibao ,nadhani aliuziwa na shemeji yake Cynthia Masasi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama K hawezi acha kuji upgrade kila leo, ataishi vipi mjini. Achaa achezee pesa, uzuri kwao wanajiweza weza hata akikosa madanga anatulizanaa kwao.
Kwao Pesa ya kawaida Mzee kastaafu ila Irene siku Hizi ana kibri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…