Kesho Jumatatu Iran itafanya mazoezi makubwa sana ya kijeshi na Urusi na China ikiwa ni maandalizi ya utayari

Kesho Jumatatu Iran itafanya mazoezi makubwa sana ya kijeshi na Urusi na China ikiwa ni maandalizi ya utayari

Nchi nyingi zinazoshirikiana na urusi zijawai kuwa na maendeleo zaidi ya kutumia nguvu kwenye madaraka tu.
 
T
Unazungumzia maendeleo ya takwimu za maneno.Embu fika urusi ukaone watu wake
Takwimu za maneno?acha kutufanya wajinga unataka kusema wananchi wake wanamaisha magum au
 
Hipi kuhusu china yenye ushirikiano wa damu kabisa na urusi.iran yenyewe kama sio vikwazo ingekuwa 4 au 5 kiuchumi duniani
Wairani hawajakoma tuuu. Wanatakiwa wajifunze kutengeneza ndege kwanza kabla hawajaaanza visa na Israel. Lasivyo wataangamia sana
 
Unazungumzia maendeleo ya takwimu za maneno.Embu fika urusi ukaone watu wake
Kabla ya kuhangaika na mambo ya Russia 🇷🇺
Hebu tujiangalie hapa kwetu je, tunaweza kujilinganisha kwa lolote na Russia 🇷🇺
Au uliwahi kusikia Russia 🇷🇺 wanaomba msaada wa kujengewa vyoo kama huku nchi ya kusadikika?
 
Nchi nyingi zinazoshirikiana na urusi zijawai kuwa na maendeleo zaidi ya kutumia nguvu kwenye madaraka tu.
Na nyinyi mnaoshirikiana na UK 🇬🇧 USA 🇺🇸 France 🇫🇷 Germany 🇩🇪
Hebu tueleze mna maendeleo gani? Kuwazidi washirika wa Russia 🇷🇺
 
Na nyinyi mnaoshirikiana na UK 🇬🇧 USA 🇺🇸 France 🇫🇷 Germany 🇩🇪
Hebu tueleze mna maendeleo gani? Kuwazidi washirika wa Russia 🇷🇺
Urusi ilishawai kudaiwa na kampuni ya soda pepsi na mwisho wa siku urusi iliwapa vifaa vya kivita kama nyambizi,vifaru na mizinga kulipa deni
 
Back
Top Bottom