Kesho mkutano wa wakuu wa nchi kuhusu nishati huku Arusha-Arumeru tumekesha na Giza: Tatizo ni Nini?

Kesho mkutano wa wakuu wa nchi kuhusu nishati huku Arusha-Arumeru tumekesha na Giza: Tatizo ni Nini?

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati anatuambia nchi Ina umeme wa ziada, Cha ajabu kukatika kwa umeme kupo pale pale. Huku Arusha wilaya ya Arumeru halmashauri ya Meru tangia usiku mpaka sahizi hakuna umeme tuko gizani shida ni Nini? Wakati huo KUANZIA kesho Marais wa nchi za Africa wanaanza mkutano wa siku 2 kesho kujifunza kwetu. Wanakuja kujifunza Nini? Huko DSM watakakofikia hawaukatiki?
 
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati anatuambia nchi Ina umeme wa ziada, Cha ajabu kukatika kwa umeme kupo pale pale. Huku Arusha wilaya ya Arumeru tangia usiku mpaka sahizi hakuna umeme Yuko gizani shida ni Nini? Wakati huo KUANZIA kesho Marais wa nchi za Africa wanaanza mkutano wa siku 2 kesho kujifunza kwetu. Wanakuja kujifunza Nini? Huko DSM watakakofikia hawaukatiki?
 

Attachments

  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 2
Sio huko tu maeneo mengi hakuna nishati, Geita, Babati Mwanza
 
Subirini mkutano uishe maana kwasasa umeme umehamishiwa Dar kwenye mkutano. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom