Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #261
Nimeweka bei ya simu zote angalia kwenye hizo pichaMkuu, Iphone 13 pro jumla hadi inafika bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka bei ya simu zote angalia kwenye hizo pichaMkuu, Iphone 13 pro jumla hadi inafika bei gani?
USidhani kila mtu ni muovu.Mtaibiwa, narudia tena mtaibiwa.
Mkuu hizo google pixel ni brand new au refurbished?
Ni original boss. Na nikueleze tu asilimia kubwa simu zote mnazotumia Tanzania zinatoka China. Hatuagizi simu copy.Hakuna Samsung wala Iphone original kutoka China.
Kama hizo ni original kwanini zinazoletwa Ulaya ziandikwe For Europe use only.
Waambiee watu ukweli kwamba ni copy.
Ni brand NewMkuu hizo google pixel ni brand new au refurbished?
Sio original ni copy ndio maana hata bei zake sio sawa na bei za simu original hasa Samsung na Iphone.Ni original boss. Na nikueleze tu asilimia kubwa simu zote mnazotumia Tanzania zinatoka China. Hatuagizi simu copy.
Soma hizo bei nilizo andika hapo. Hizo bei ni ndogo? Hizo bei sisi ndio tumezishusha kwasababu ya ubinadamu. Hizo simu ni original mpya. Tungeamua kupandisha ili kujifaidisha kama wengine wanao jifaidisha mara tatu. Hembu pitia hizo bei za iPhone 16 alafu leta pesa yako tukuletee iPhone ya China uitumie alafu ulete mrejesho hapa jukwaani.Sio original ni copy ndio maana hata bei zake sio sawa na bei za simu original hasa Samsung na Iphone.
Mnashusha bei kwa ubinadamu?Give me a break.Mimi simu yangu nimenunua Sweden na,kwenye box lake ilikuwa imeandikwa for Europe users only.Soma hizo bei nilizo andika hapo. Hizo bei ni ndogo? Hizo bei sisi ndio tumezishusha kwasababu ya ubinadamu. Hizo simu ni original mpya. Tungeamua kupandisha ili kujifaidisha kama wengine wanao jifaidisha mara tatu. Hembu pitia hizo bei za iPhone 16 alafu leta pesa yako tukuletee iPhone ya China uitumie alafu ulete mrejesho hapa jukwaani.
Kwa kuanza tunaomba tukuuzie simu ndogo ya kitochi original kwa 65000 /=. Uitumie miezi sita then ulete mrejesho wa betri yake.Soma hizo bei nilizo andika hapo. Hizo bei ni ndogo? Hizo bei sisi ndio tumezishusha kwasababu ya ubinadamu. Hizo simu ni original mpya. Tungeamua kupandisha ili kujifaidisha kama wengine wanao jifaidisha mara tatu. Hembu pitia hizo bei za iPhone 16 alafu leta pesa yako tukuletee iPhone ya China uitumie alafu ulete mrejesho hapa jukwaani.
Hiyo ni iPhone 15 Pro Max ya China waulize watu bei yake ni sh ngapi? Ni laini mbili.Mnashusha bei kwa ubinadamu?Give me a break.Mimi simu yangu nimenunua Sweden na,kwenye box lake ilikuwa imeandikwa for Europe users only.
Sasa unalinganisha Sweden na China?? Sweden wenyewe wanaagiza bidhaa China.Mnashusha bei kwa ubinadamu?Give me a break.Mimi simu yangu nimenunua Sweden na,kwenye box lake ilikuwa imeandikwa for Europe users only.
s24+ shiling ngapSasa unalinganisha Sweden na China?? Sweden wenyewe wanaagiza bidhaa China.
Kweli boss. Sisi hizo ndio bei zetu bosshizi bei za mda sana. iphone 11 ni laki 6 sasa.
hizi bei shusha 100k - 150k
Samsung Z Fold 5 512 GB = 2,440,000 TZSs24+ shiling ngap