Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #281
Zipo nyingi sana boss. Simu zote zinazouzwa Afrika zinatoka CHINA.Hamna simu original toka china hamna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo nyingi sana boss. Simu zote zinazouzwa Afrika zinatoka CHINA.Hamna simu original toka china hamna.
s24 plus bossSamsung Z Fold 5 512 GB = 2,440,000 TZS
Samsung Z Fold 5 256 GB = 2,280,000 TZS
Samsung Z Flip 5 512 GB = 1,360,000 TZS
Samsung Z Flip 5 256 GB = 1,240,000 TZS
Samsung s24 ultra 512GB = 2480000 TZS
Samsung s24 ultra 256GB = 2320000 TZS
Ngoja nimwuulize Mchinas24 plus boss
Kaa ukijua kila bidhaa unayotumia hapa Tanzania inatoka China mkuu.Ameuliza Can i get Chinese version in Sweden kwa sababu hamna na ukiagiza kutoka China unajua,wazi kwamba ni Copy.Ndio maana ya"chinese version"
Lugha inakupa tabu mfanyabiashara?
Unaposema nalinganisha Sweden na China una maana gani?
Situmii vitu feki.Vitu vingi vinavyotengenezwa China ni vya low quality.Na kosa ni wafanyabiashara wanaokwenda China na kununua vifaa,simu vya low quality ili kupata faida ya haraka haraka.Kaa ukijua kila bidhaa unayotumia hapa Tanzania inatoka China mkuu.
China bidhaa zao zote ni original wewe unanuaga kwa wafanya biashara wadogo ndio wanakuuzia vitu feki.Situmii vitu feki.Vitu vingi vinavyotengenezwa China ni vya low quality.Na kosa ni wafanyabiashara wanaokwenda China na kununua vifaa,simu vya low quality ili kupata faida ya haraka haraka.
Kuna tofauti kubwa vifaa vinavyotengenezwa China under licence kwa soko la Marekani na Ulaya.
Afrika na Tanzania imekuwa dumping site ya vifaa duni.
Nina akaunti ya bank ya China, ICBCInawezekana kuna ka ukweli ila kuna ka uongo kwenye post yako, huwez kua na we chat pay kama huna akaunti ya bank ya China. Na ni lazma uwe raia wa China au kibali cha kuishi China au kufanya kazi China ndo upate akaunt ya bank ya China. Ungesema unalipia kwa alipay Sawa ila sio we chat pay
mkuu Samsung 22 ultra bei ganiNina akaunti ya bank ya China, ICBC
mkuu Samsung 22 ultra bei gani
Ungeongezea na mkeka wa Xiomi kama hivi ingependeza sana tafadhali.
Bado wanaagiza bossMrejesho wadau
Oppo Reno 12 pro 256GB shngpBado wanaagiza boss