nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
-
- #41
Kama unatokea dar shuka tengeru alaf unajifanya ww syo mgen mtafute boda mwambie had sehem unapo elekea kwa mfano " mkuu vp naitaji toyo mbili hadi labda hapo chuo cha kilimo hatakuambia kias flan tayar umesha pata uwakka wasafar yako " ukitaitaji kuja kupumzka town panda haic kama unakpunda chakutosha nione tukapge vyombo hapo milestone au the hub uinjoi safar yako ya Arusha
Natokea dar kaka asanteAnaenda Tengeru chuo gani? CDTI, Mifugo au Patandi? Kama unatokea njia ya Dsm, shukia Tengeru, kama unatokea barabara ya Babati shukia stendi chukua daladala za USA river, Kikatiti au maji ya Chai. Shukia Tengeru, nauli 700 toka mjini, kama unaenda CDTI au Mifugo ukishuka Tengeru unapanda bodaboda nauli 1500 hadi 2000. Karibu Tengeru
Kaka.Natokea
Mbona unampoteza?Ukifika Arusha mjini panda gari zinazoelekea Singida,shuka Makuyuni halafu upande zinazotoka Dodoma ushukie Kisongo,halafu mpe mdudu yeyote buku akuelekeze
Shukrani mamdogoShort n clear. Shuka kituo cha Tengeru. Panda boda boda mpaka hapo ni buku very likely. Au ikizidi sana buku mbili TU. Ukidelay kuwaambia pa kukushusha utapitilizwa mpaka mjini hutaamini. Uelekeo...TENGERU!
Ujasema una tokea wapi ili iwe rahisi kukuelekeza
Akipotea ni fursa kwa waduduMbona unampoteza?
Kama unatokea Dar, shukia Tengeru, usifike mjini, panda bodaboda kwa 1500 au 2000 kwenda hapo chuo cha CDTI.D
Natokea dar kaka asante
Akipotea ni fursa kwa wadudu
Hali ya hewa muda huu ni jua kali sana ila kesho mchana tunategemea kupata mbalamwezi na mvua za masikaVip hali ya hewa tengeru
ππππUkifika Arusha mjini panda gari zinazoelekea Singida,shuka Makuyuni halafu upande zinazotoka Dodoma ushukie Kisongo,halafu mpe mdudu yeyote buku akuelekeze
ukimalza route zako upitie hapa SUMNI. tengeruWakuu kwa mara yangu ya kwanza kufika kule namsindikiza mdogo wangu anaenda chuo cha tengeru. Sina experience yeyote najua hapa nitapata ABC zake, shukrani.
Ukiona umetoka Moshi mwambie konda unashuka Tengeru we mgeni, Kisha daka toyo chap.
πUkiwa chuga Toyo ndo bodaboda sio huko kwenu dar Toyo ni guta.Toyo tena, sio boda?