Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

Zingzingzing

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2014
Posts
735
Reaction score
667
Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.

ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa.

Mrejesho:
Wakuu asante sana kwa ushauri, nilienda kwenye eneo la usaili, mara ya kwanza nilipitishwa ,badae akaja mkuu kidgo akaniweka pemben akasema nisubr, wakajadiliana kama watu 4 hivi ,mwisho wakasema haiwezekani, ila wakanishaur kwassbbu nina masomo mawili na yana interval ya siku ya usaili basi nifate tu hyo trans original.

Asanteni kwa ushauri , kwa wajuz ,je trans inachukua muda gani kuipata na ni lazima niwepo mimi mwenyewe? Nipo songea, nilisoma SUA ,gharama tu ya nauli kwenda na kurudi 120,000.
 
Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.

ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa.
Kipo chuoni?
 
Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.

ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa.
Chukua hiyo og nenda kapige muhiri wa mwana Sheria. Kisha nenda kwa Imani

Face them mapema,waeleze watakuelewa!

Mimi nakuombea ... Na ntafunga kesho na kukuombea mkuu! Usikate tamaaa

Hii kazi utapata
 
Back
Top Bottom