Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

Huko hawaitaji transcript wanataka cheti og cha kuzaliwa, cha form 4 na form 6 kama ulipita na na chuo bila kusahau kitambulisho either cha mpiga kira, legend ya udereva na cha taifa basi
 
Kajieleze kama unavyoeleza hapa, bila uongo, mwamini Mungu, usiache kwenda, nakuhakikishia utafanikiwa, get ready and go get them, ila ujielezee kabla kwa utulivu la Leo usiku piga sala mwanetu.
 
Daaa mzee nahs kukata tamaa
Hapo pagumu kinomanoma nikushauri tu kamtie sound panel master au panel attendant yoyote ila awe manzi mtie vocal muimbishe mwambie huna OG una copy utapenya tu kibingwa

Hakikisha unamuimbisha manzi anaesimamia madume yatakutimua mapema sana
 
Una shauri vipi mkuu? Ushauri wako unaweza kuwa Bora!

Kikubwa Mimi sitaki awe muoga tu! Kuna vitu Mungu anaruhusu vitokee ili apate kuonyesha ukuu wake
Kwanza kabisa asiwe na hofu/wasiwasi, aende kwa kujiamini kabisa, muda wa ukaguzi wa vyeti awape vyeti vyake bila hiyo copy ya transcript hii akiwapa ndo ataanzisha maswali mengine. Ila kwa ushuhuda tu Mimi nishafanya sahili bila wao kuizingatia
 
Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.

ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa.
Usiwe na hofu mkuu, interview utafanyaaa kitu kikubwa una cheti original maake hata Mimi nimefanyaa interview kama tatu utumishi walikuaga hawana haja saana ya kukagua transcript so nenda na hiyo copy yake na ninaaminii watakuruhusu mkuu ingekuwa ni chetii ningekwambia bye bye
 
Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.

ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwila
Ila naomba nikuulize kitu, hiyo transcript imekuwaje huna na vyeti ulishachukua, au umepoteza. Kama umepoteza nikushauri ufatilie loss report
 
Kuna wadau wamezugumza kwamba kuna wakati transcript hawa zingatia sana na wakati mwingine hawaziangalii kabisa hili swala lina ukweli, chukua vyeti ulivyo navyo nenda kwa kujiamini hope utaruhusiwa ila pambana upate transcript mapema!
 
Ila naomba nikuulize kitu, hiyo transcript imekuwaje huna na vyeti ulishachukua, au umepoteza. Kama umepoteza nikushauri ufatilie loss report
Mkuu trans nilipata na nikachukua cheti ninacho,ila trans imepotea imebaki copy ambayo nilipiga muhur kwa mwanasheria
 
Wakuu asanten kwa kunipa moyo, kesho asubuh saa 1 kamili ndio usail oral, nitaleta mrejesho kama nimefanya au sijafanya. Tuombeane mema
 
Mkuu trans nilipata na nikachukua cheti ninacho,ila trans imepotea imebaki copy ambayo nilipiga muhur kwa mwanasheria
Kwa ushauri na kuweka tafadhali tafuta loss report uwe nayo, ili ikitokea wamezingua unawaonesha hiyo ndo itakuwa msaada wako. Loss report kupata si kazi hii ni kwa uhakika zaidi
 
Back
Top Bottom