Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #21
Copy ndio ninayo na inamuhur wa mwanasheria daa, mkuu nahisi kukata tamaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenChukua hiyo og nenda kapige muhiri wa mwana Sheria. Kisha nenda kwa Imani
Face them mapema,waeleze watakuelewa!
Mimi nakuombea ... Na ntafunga kesho na kukuombea mkuu! Usikate tamaaa
Hii kazi utapata
Sifa ya muombajiNgazi ya degree kwa maana gani, kufundisha au sifa za mwombaji?
Daaa mkuu sijui nini kitatokea hukoNenda na hyo kopi ,mara nyingi kwenye mafail hukaa nakala za vyeti mkuu,ila watahitaji kuhakiki vyeti vyako
DaaaWe nenda tuuu
Na akipata kazi atupie mrejesho, ili tujue kama anathamini maombi yetu ama la.Chukua hiyo og nenda kapige muhiri wa mwana Sheria. Kisha nenda kwa Imani
Face them mapema,waeleze watakuelewa!
Mimi nakuombea ... Na ntafunga kesho na kukuombea mkuu! Usikate tamaaa
Hii kazi utapata
AminaNa akipata kazi atupie mrejesho, ili tujue kama anathamini maombi yetu ama la.
Lazima atapa ... Ila kesho atupe mrejesho baada ya interviewNa akipata kazi atupie mrejesho, ili tujue kama anathamini maombi yetu ama la.
Nenda na hiyo hiyo kila mtu na bahati yakeDaa mzee hapana ,trans naona copy tu
Transcript hawazingatii sana, muhimu zaidi ni Cheti. Ila kwa usaili huu wa walimu sijajua itakuwa, ila jipe moyo na Kumuomba Mungu.Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree.
ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa.
Si shauri Hawaface mapema kuwaeleza issue ilivyo hapo hakikuta msimamizi mkuda ni noma.Chukua hiyo og nenda kapige muhiri wa mwana Sheria. Kisha nenda kwa Imani
Face them mapema,waeleze watakuelewa!
Mimi nakuombea ... Na ntafunga kesho na kukuombea mkuu! Usikate tamaaa
Hii kazi utapata
Daaa mzee hatari sanSi shauri Hawaface mapema kuwaeleza issue ilivyo hapo hakikuta msimamizi mkuda ni noma.
Mkuu kweli?transcript huwa haiitajiki
kinachoitajika ni vyeti tu mzeeMkuu kweli?
hata kwenye tangazo la kuitwa interview imeandikwa watakaokuja na transcript hawatakubaliwa.mie sijawahi kwenda interview na transcriptMkuu kweli?
YeahLazima atapa ... Ila kesho atupe mrejesho baada ya interview
Tusije tukaomba na kufunga kumbe mtu hajaenda kwenye interview
We panga vyeti vyako vyote usiweke transcript, mpaka watakapohitaji. Nishafanya sahili kadhaa nawapa vyeti na transcript, transcript narudishiwaMkuu kweli?
Usikate tamaa, nenda Bila hofu kabisa na ninaomba MUNGU akutangulie daima. Amina.Copy ndio ninayo na inamuhur wa mwanasheria daa, mkuu nahisi kukata tamaa sana