Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Mbona kesho mbali,?!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]. Hizi siasa bhana bora mtu utulie ufanye yako tu
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Sasa wewe ni kamanda asiyechoka au aliyechoka make jina lako haliakisi
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Ondoka Leo usibiri kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…