Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
wewe ni mpumbavu mmoja tu mwenye ako na stress za maisha, hujawahi kuwa CHADEMA
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kudadaeeeki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani tulishakufukuza kitambo kwa tabia zako za udikozi.
 
Siasa zinahitaji watu smart na wenye UPEO mkubwa Wa kuitazama TANZANIA baada ya miaka 50 mbele.

Huwa nikisoma hoja zako zimejaa utoto Sana
Huyo alishafukuzwa kitambo tangu enzi za Magufuli
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
CHADEMA haitaki mashoga.
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Pole sana. Nakujaribisha Jahazi asilia
 
Back
Top Bottom