mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Siti ya mbele nina kungojea kamanda tupokee tamko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa sio mchagaWamekunyima mgao?
wewe ni mpumbavu mmoja tu mwenye ako na stress za maisha, hujawahi kuwa CHADEMAKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Mbona bado mpaka.sasa hujatangaza kuondoa hapo lumumba?Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kudadaeeeki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani tulishakufukuza kitambo kwa tabia zako za udikozi.Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Huyo alishafukuzwa kitambo tangu enzi za MagufuliSiasa zinahitaji watu smart na wenye UPEO mkubwa Wa kuitazama TANZANIA baada ya miaka 50 mbele.
Huwa nikisoma hoja zako zimejaa utoto Sana
Mwizi kabisaShwaini
Pumbafu kabisa wewe kibakaShwaini
Wewe ni zaidi ya kibakaShwaini
Nasikia WHO wametangaza kuwa hata ukichaa pia ni magonjwa mtambuka[emoji23]Duh.
CHADEMA haitaki mashoga.Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Mbona mimi sijasikia?😂Nasikia WHO wametangaza kuwa hata ukichaa pia ni magonjwa mtambuka[emoji23]
Inawezekana huyu ni mjinga mmoja hivi anapenda chama ambacho hakimpendiMkuu unaweza kukuta huyu kamanda mchovu ndiye Paul Makonda mwenyewe katika ubora wake.
Jinga sanaHukuwahi kuwa Chadema wewe kapuku , na kabla hujaendelea kudanganya nakuanika hadharani , ulidhani ukijifanya Chadema hapa JF basi ccm itakuthamini , umebwagwa unajifanya kujitoa , Mnafiki we !
Pumbavu sanaChadema na ccm ni wapumbavu ndiyo maana mnadhani wote ni chadema au ccm kumbe wengine hatuna vyama vya siasa
Pole sana. Nakujaribisha Jahazi asiliaKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Afya ya akili.Wajinga wanaongezeka Kwa Kasi sana