Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Akubariki sanaaa na kukujalia Maisha marefu yenye heri na amani.Kama wewe ulikuwa CHADEMA kwakweli jiondoe. Ulikuwa takataka. Na usije CCM PLEASE wewe ni mbovu, kilaza na mwenye utoto. Nlipenda uendelee kubaki Chadema ili niwe nawananga chadema wana watu wa hovyo. Sasa ukiondoka itakuaje? Unawaacha machawa tu akina Erythrocyte peke yao? Sisi CCM tunalo chawa kilaza njaa kali Lucas mwashambwa huyu ni chawa pro max gud gud. Chawa mchafu.
Chadema hakuna ChawaKama wewe ulikuwa CHADEMA kwakweli jiondoe. Ulikuwa takataka. Na usije CCM PLEASE wewe ni mbovu, kilaza na mwenye utoto. Nlipenda uendelee kubaki Chadema ili niwe nawananga chadema wana watu wa hovyo. Sasa ukiondoka itakuaje? Unawaacha machawa tu akina Erythrocyte peke yao? Sisi CCM tunalo chawa kilaza njaa kali Lucas mwashambwa huyu ni chawa pro max gud gud. Chawa mchafu.
Yaani Kuna watu wako serious na siasa za upinzani hapa Tanzania? 😁😁😁😁Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Huyo mamluki hajawahi kuwa ChademaYaani Kuna watu wako serious na siasa za upinzani hapa Tanzania? 😁😁😁😁
Mkuu wewe ulitakaje? Saizi mnaachwa andamaneni toeni matamko hewa imeisha hivyo 😂😂
Madada mnajuana kumbe 😁😁Mbaya zaidi ni mdada
Ok ni KunguniChadema hakuna Chawa
Mungu Akubariki sanaaa na kukujalia Maisha marefu yenye heri na amani.
Amani ya Mungu iwe nawe.
Chadema haina kitengo cha kulipa watu kwa sababu zozote zile , kwanza haina hela hizo , bali watu ndio wanailipa Chadema kutoka kwenye mifuko yao ili kuharakisha ukomboziOk ni Kunguni
Amani ya Mungu iwe nawe.
Nawe umeshakuwa juhaChadema kimesha kuwa chama cha wapumbavu
Duh.Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Eeehhh, chadema inakufa sasaKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae