PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Wajinga wanaongezeka Kwa Kasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwa hao ambao umeme na sukari umewashinda angalia sasa tunakaa nje hatuna maji joto kali huku tukipepea vutambaa sijui utawapa sifa gani ili wakupokeeKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
ITISHA MKUTANO UWANJA WA MKAPA MKUUKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Bwana kamanda mchovuKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Safi sana. Bora uondoke. UsituchosheKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Mzee mgaya umepatwa na nini?Kwani ulipojiunga ulitutangazia?
Tutusa wahed 🐼
Hii imedhihirisha ukweli wa hoja ya DR HAYA LANDShwaini
Tangu lini ukawa mwanachedema ? Unapenda chama ambacho hakikupendi pumbavu sanaKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kumbe ni Kweli Tundu au wamekataa usigombeeee😂😂😂😂Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kumbe na wewe unamjua huyu kenge wa kijani,Huyu tapeli hana lolote ni UVCCM
Kamanda asiyechoka hatimae achoka.🤣 Neno kamanda si la kila mtu bana.Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Huyu uvccm, fuatilia mada zake humu utajua,Jiondoe tu nenda ccm mkuu
Huko hawana njaa
Ova
Hahaaa, kipigo cha mwarabu jana kimemchanganya kasahau Yuko chama gani,Ndio hapo hata mimi namshangaa! Au atakua kavuta bangi? Maana mpaka mtu anasahau kama yeye ni ccm sio mchezo!
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Chadema kimesha kuwa chama cha wapumbavuKesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kamanda Asiyechoka ambaye sasa ni dhahiri kabisa kuwa ni "Aliyechoka'. Nafikiri utakuwa muda muafaka kwako kubadili jina lako hapa jukwaani na "avatar" yako.Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.
Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.
Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Mjinga mmoja katika kivuli cha chademaKamanda Asiyechoka ambaye sasa ni dhahiri kabisa kuwa ni "Aliyechoka'. Nafikiri utakuwa muda muafaka kwako kubadili jina lako hapa jukwaani na "avatar" yako.
Nachelea kusema kuwa umevipiga vita visivyoeleweka, na mwendo sasa umeumaliza.