Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

Kesho najiondoa rasmi CHADEMA. Nimechoshwa na siasa njaa na kuendekeza matumbo

Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Waandishi wa habari watakaomsikiliza pumbavu nao watakuwa wapumbavu. Wacha tuone.
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Sisi wasomi wenye kiwango cha Phd tunajua tangu zamani wewe sio chadema ni anti chadema
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Wewe Malaya wa kisiasa huku wahi kuwa CHADEMA !!!wewe ni mamkuluki wa CCM tangu enzi. Kuficha uovu wako naomba niishie hapo.
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Hukuwahi kuwa Chadema wewe kapuku , na kabla hujaendelea kudanganya nakuanika hadharani , ulidhani ukijifanya Chadema hapa JF basi ccm itakuthamini , umebwagwa unajifanya kujitoa , Mnafiki we !
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Utaenda wapi ,DP,UDP,CUF,DEMOKRASIA MAKINI,, au UDP na vile vyama kumi na tatu chini ya Hamad Rashid na Doyo Doyo?😁
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Wamekunyima mgao?
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Kwan kweli ulikua chadema kamanda 🐒

Ila na wew ni mvumilivu na mstahimilivu mno, 4Rs sa SSH umeweza kuziishi vizur sana aise 🐒
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Hili tutusa bwana, linadhani watu ni wajinga km lenyewe. Unajidanganya halafu unajiona mwerevu, kumbe tutusa tu.
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Hatunahaja kukujua labda kama ni demu mkali mwenye mkia mnono!!
Wametoka na kurudi weeengi wengine waliaga Dunia kabisa Mungu awarehemu Sasa wewe kiazi mbatata utamsumbua nani? Unamwambia nani kwanza kwani umeolewa hko??
 
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri.

Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi.

Labda tu kwa uchungu wa taifa langu nibadili gia angani baadae
Vimeniudhi ✓ na siyo vimeniuzi× ! Jifunze lugha kwanza kabla ya kukimbilia kuongea na vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom