Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!

Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!

Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.

Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!

Ama kweli usiku wa deni...!
 
Hapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.

Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya.

Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE..

Kvp?

Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.

Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.

Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki.

Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin🤲🤲🤲🤲🤲

Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO..
 
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!


Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!


Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.


Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!


Ama kweli usiku wa deni....!
Ohhh kesho ndio genge la mchwa wanateuliana.

All of them are bunch of thugs and hooligans.

Shameless national interest vandals.
 
Hapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.....

Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya..........
Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE.....

Kvp?

Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.

Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.

Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki....

Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin[emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]

Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO.....
Labda maombi ya kumfanya asichaguliwe...makonda hapendwi kha nn
 
Hapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.....

Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya..........
Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE.....

Kvp?

Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.

Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.

Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki....

Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin🤲🤲🤲🤲🤲

Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO.....
Bila shaka wewe ndio Bashite. Hupenyi.
 
Labda maombi ya kumfanya asichaguliwe...makonda hapendwi kha nn
Mnapomchukia Nyinyi Mnataraji Na Mungu Nae Atamchukia?!!!

Nimemuomba Mungu Amsaidie, Nanyi Muombeni Mungu Afanye Mnayoyataka.....Mwisho wa siku MTOAJI NI YEYE MUNGU NA SI MIMI.


Acheni KUJIMILIKISHA MWENYEZI MUNGU mifukoni mwenu.....
 
Kawe majina haya yanaweza kupita kwenda kupigiwa kura

1.Angela kizinga
2.Yusuph Mwenda
3.Gwajima
4.Kipi warioba
5.Ben Sita

Muda huu wajumbe wanavutwa chobingo tu
 
Hapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.

Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.

Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.

Bila shaka wewe ndio Bashite. Hupenyi.
 
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!


Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!


Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.


Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!


Ama kweli usiku wa deni....!
tumewachoka wote hao.
 
Hapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.....

Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya..........
Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE.....

Kvp?

Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.

Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.

Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki....

Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin🤲🤲🤲🤲🤲

Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO.....
Yaani wewe na mkeo??ndo maombi hayo??acha utani Mungu hataniwi wewe
 
Back
Top Bottom