Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Hapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.....

Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya..........
Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE.....

Kvp?

Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.

Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.

Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki....

Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin[emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]

Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO.....
Mungu ana kazi sana,hakika.
 
Kawe majina haya yanaweza kupita kwenda kupigiwa kura

1.Angela kizinga
2.Yusuph Mwenda
3.Gwajima
4.Kipi warioba
5.Ben Sita

Muda huu wajumbe wanavutwa chobingo tu
Huyo No. 1 hua Kizinga au Kizigha boss? Namfananisha na yule wa Boss Daissy Gen. Ltd
 
Bahati Nzuri Humu Najulikana....
Vijana Wa CCM Wananifahamu....
Tahliso enzi za kina BEATUS Mafuru na Patrobass Paschal Katambi Wananifahamu....
SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar enzi zile za kina Abubakar Asenga na Ally Hapi Wananifahamu.
Tanuri La Fikra kina Said Sambala Wananifahamu...

Mimi SI GHOST Mimi Ni Jumbe Brown.

Acheni Kumsingizia Komredi Makonda...

It's Me na Shemeji Yenu Ktka Usiku Huu Wa Maombi Kwa AJILI ya Makonda.
Naona unazidi kujikomba komba kwa kuwataja taja majina ili wakukumbuke kwny 'falme' zao boss.

All the best.
 
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!


Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!


Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.


Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!


Ama kweli usiku wa deni....!
Nafatilia jimbo la ukonga maana mpaka sasa sielewi
 
Hapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.

Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.

Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.
Bashite, kwanini unatumia jina la kugushi? Tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom