jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
- Thread starter
- #41
...acha kabisa mzee!Shoka liliungua mpini ukabaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...acha kabisa mzee!Shoka liliungua mpini ukabaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
SureAhaaa,okay..Really??,,mambo yapo tight tu Anne
Chief wewe inakusaidiaje kukuza uchumi wako wa kati?Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!
Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!
Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.
Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!
Ama kweli usiku wa deni....!
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!
Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!
Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.
Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!
Ama kweli usiku wa deni....!
Watakula panga pekeake? Wachagulie na mboga kabisa mkuu!Gwajima na makonda wanakula panga. Hakuna atakayeamini.
Comment yangu itarejewa
...noma sana kiongozi!Mambo ya kesho mazitoo
..kama wote.Vip takukuru watakuwepo?
....mara ngapi sasa?!Chief wewe inakusaidiaje kukuza uchumi wako wa kati?
..kama wote.
98 .736....mara ngapi sasa?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ww umesoma hadi chuo??
😂😂😂😂Watakula panga pekeake? Wachagulie na mboga kabisa mkuu!
mara paa bashite anapita kisha anapewa waziri wa Mambo ya ndani,Wapinzani mtakoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bashite kupita yani ni asubuh mapema yule mtoto pendwa wa baba...yan anavyopenda vyeo ivyo aingeachia ukuu wa mkoa kama babake hakumjhakikishia ushind mkuu...za chini chini makonda atakabidhiwa kijiti 2025, nchi yakibwege sana hii...
Unaweza kumpa ata takoHapa Nimemuambia Mke Wangu Tufanye Maombi special kwa AJILI ya ndugu Makonda.....
Kwa Mapenzi Yetu Binafsi Juu Ya Comrade Paul Makonda Ninaomba wanaCCM wenzangu na Watia Nia Wengine Pale Kigamboni Waniruhusu Niwabague Katika Maombi Yetu Haya..........
Nitawabagua kwa kuwa NITAMUOMBEA PAUL MAKONDA PEKE YAKE.....
Kvp?
Ninataraji Mwenyezi Mungu Atatujibia Maombi Yetu Kwa Kumfanya Paulo Makonda Awe Mgombea No.1 Wa Ubunge Pale Kigamboni Akiiepeperusha Bendera ya CCM aaamin.
Nikiwaangalia wakuu wa mikoani wote Tanzania,hakika Paulo Makonda alikuwa Mkuu Wa MKOA Mwenye Viwango Vikubwa Aliyetutendea Mengi Mazuri Wakazi Wa Jiji Hili.
Hakika ni MENGI Na Hayahesabiki....
Eee Mwenyezi Mungu Mbariki Na Umuinue Mja Wako Makonda Katika Safari Ya NDOTO ZAKE aaaamin aaaaaamin[emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]
Kwa Maana kila binadamu MKAMILIFU ana NDOTO.....
FemiliMungu Nimuaminiye Ni Wa Upendo.....Anaipenda Femili....Sikumuomba Na Kimada Bali Mke.....
Acha Kuniingilia Katika Utawala Wangu Wee[emoji12][emoji12][emoji12]
Asante Sana Mkuu Wangu Kurlzawa,Mungu akubariki aaamin.Unaweza kumpa ata tako
Ramli,waziri mwenzake kivipi wakati umesema hatateuliwa?Makonda atapita. hatateuliwa uwaziri kwenye awamu ya kwanza. Ila atateuliwa baada ya waziri mwenzake kutumbuliwa
Nape na Ruge R.I.P walikuwa nao ni wapinzani?mara paa bashite anapita kisha anapewa waziri wa Mambo ya ndani,Wapinzani mtakoma