Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Hapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.

Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.

Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.
Tuhuma zote za Bashite huzioni hadi umuombee kwa Mungu ashinde.
 
Yaani wewe na mkeo??ndo maombi hayo??acha utani Mungu hataniwi wewe
Mungu Nimuaminiye Ni Wa Upendo.....Anaipenda Femili....Sikumuomba Na Kimada Bali Mke.....
Acha Kuniingilia Katika Utawala Wangu Wee😜😜😜
 
Kesho watu watachapana ngumi. Kila mgombea anataka kushinda at any cost.
Gwajima na Makonda watashinda hilo halina ubishi.
 
Hapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.

Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.

Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.
Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
 
Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!


Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!


Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.


Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!


Ama kweli usiku wa deni....!
Shoka liliungua mpini ukabaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Gwajima hapiti video yake ya ngono itamponza wenye akili wanajua hilo.

Makonda hapiti kwa sababu ameenda kinyume na apendavyo baba yake jiwe.

Na wengine wote walio acha kazi za kuteuliwa na jiwe kama Makonda nao wahesabu maumivu.

Waliohamia Ccm kutoka chadema wengi wao hawata pita ila wachache sana ndio watapita akiwemo yule Waitara wa Tarime.
 
Mungu wa ibrahimu , mungu wa isaba , mungu wa yakobo na mungu wa mbavusimba usimwache paulo makonda msike mkono baba wa mbinguni , watesi wake waaibike wafedheheke , tena wafadhaishwe , , paulo makonda upate ushindi wa kishindo Ameni
 
Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
Bahati Nzuri Humu Najulikana....
Vijana Wa CCM Wananifahamu....
Tahliso enzi za kina BEATUS Mafuru na Patrobass Paschal Katambi Wananifahamu....
SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar enzi zile za kina Abubakar Asenga na Ally Hapi Wananifahamu.
Tanuri La Fikra kina Said Sambala Wananifahamu...

Mimi SI GHOST Mimi Ni Jumbe Brown.

Acheni Kumsingizia Komredi Makonda...

It's Me na Shemeji Yenu Ktka Usiku Huu Wa Maombi Kwa AJILI ya Makonda.
 
Bahati Nzuri Humu Najulikana....
Vijana Wa CCM Wananifahamu....
Tahliso enzi za kina BEATUS Mafuru na Patrobass Paschal Katambi Wananifahamu....
SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar enzi zile za kina Abubakar Asenga na Ally Hapi Wananifahamu.
Tanuri La Fikra kina Said Sambala Wananifahamu...

Mimi SI GHOST Mimi Ni Jumbe Brown.

Acheni Kumsingizia Komredi Makonda...

It's Me na Shemeji Yenu Ktka Usiku Huu Wa Maombi Kwa AJILI ya Makonda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ww umesoma hadi chuo??
 
Mungu wa ibrahimu , mungu wa isaba , mungu wa yakobo na mungu wa mbavusimba usimwache paulo makonda msike mkono baba wa mbinguni , watesi wake waaibike wafedheheke , tena wafadhaishwe , , paulo makonda upate ushindi wa kishindo Ameni
Aaaaaaaaaaamen🤲🤲🤲🤲🤲
 
Back
Top Bottom