Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Tuhuma zote za Bashite huzioni hadi umuombee kwa Mungu ashinde.Hapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.
Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.
Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.
Anzisha Uzi kabisa ili tufanye marejeo.Gwajima na makonda wanakula panga. Hakuna atakayeamini.
Comment yangu itarejewa
Mungu Nimuaminiye Ni Wa Upendo.....Anaipenda Femili....Sikumuomba Na Kimada Bali Mke.....Yaani wewe na mkeo??ndo maombi hayo??acha utani Mungu hataniwi wewe
Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa darHapana Mimi Ni Jumbe Brown,Avatar yangu ni Mimi Mwenyewe na Wala msimsingizie mh.Makonda.
Nimeyaandika Haya Kama MWANAHARAKATI Huru Wa CCM.Bila Msukumo Wa Yeyote Nimewiwa Kumuombea DUA.
Siempre Siempre Paulo Makonda
Hasta La Victoria CCM
Viva CCM
Aluta Continua CCM.
Shoka liliungua mpini ukabaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]Unaweza kusema kesho mtoto hatumwi dukani!
Kura za maoni za kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge ndani ya CCM ni kesho kwa hakika macho na masikio Watanzania yataekekezwa kwenye zoezi hilo muhimu ndani ya Nchi!
Kuanzia Ugunja hadi Nyasa kesho hatumwi mtoto dukani.
Macho yataelekezwa zaidi kwenye majimbo mawili Kawe na Kigamboni maana huko ndipo SHOKA ILIUNGUA AJABU MPINI UKABAKI!
Ama kweli usiku wa deni....!
Mkuu Tuhuma Zipi Uzijuazo Wewe Na Tusizozijua Sisi Watoto Wa Jiji Kindakindaki?!!Tuhuma zote za Bashite huzioni hadi umuombee kwa Mungu ashinde.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mara paa bashite anapita kisha anapewa waziri wa Mambo ya ndani,Wapinzani mtakoma
Wewe dada huku kwenye siasa unatafuta nini?..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikijisikia kucheka nakuja Huku.Wewe dada huku kwenye siasa unatafuta nini?..
Mimi naona Makonda atapita Gwajima hapitiKesho watu watachapana ngumi. Kila mgombea anataka kushinda at any cost.
Gwajima na Makonda watashinda hilo halina ubishi.
Bahati Nzuri Humu Najulikana....Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
Ahaaa,okay..Really??,,mambo yapo tight tu AnneNikijisikia kucheka nakuja Huku.
You're missed
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ww umesoma hadi chuo??Bahati Nzuri Humu Najulikana....
Vijana Wa CCM Wananifahamu....
Tahliso enzi za kina BEATUS Mafuru na Patrobass Paschal Katambi Wananifahamu....
SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar enzi zile za kina Abubakar Asenga na Ally Hapi Wananifahamu.
Tanuri La Fikra kina Said Sambala Wananifahamu...
Mimi SI GHOST Mimi Ni Jumbe Brown.
Acheni Kumsingizia Komredi Makonda...
It's Me na Shemeji Yenu Ktka Usiku Huu Wa Maombi Kwa AJILI ya Makonda.
😞😞Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
Aaaaaaaaaaamen🤲🤲🤲🤲🤲Mungu wa ibrahimu , mungu wa isaba , mungu wa yakobo na mungu wa mbavusimba usimwache paulo makonda msike mkono baba wa mbinguni , watesi wake waaibike wafedheheke , tena wafadhaishwe , , paulo makonda upate ushindi wa kishindo Ameni