Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Tuhuma zote za Bashite huzioni hadi umuombee kwa Mungu ashinde.
 
Gwajima na Makonda watatupwa nje ...wabunge wengi wanaotetea nafasi zao pia kutupwa nje...
 
Yaani wewe na mkeo??ndo maombi hayo??acha utani Mungu hataniwi wewe
Mungu Nimuaminiye Ni Wa Upendo.....Anaipenda Femili....Sikumuomba Na Kimada Bali Mke.....
Acha Kuniingilia Katika Utawala Wangu Wee😜😜😜
 
Kesho watu watachapana ngumi. Kila mgombea anataka kushinda at any cost.
Gwajima na Makonda watashinda hilo halina ubishi.
 
Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
 
Shoka liliungua mpini ukabaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Gwajima hapiti video yake ya ngono itamponza wenye akili wanajua hilo.

Makonda hapiti kwa sababu ameenda kinyume na apendavyo baba yake jiwe.

Na wengine wote walio acha kazi za kuteuliwa na jiwe kama Makonda nao wahesabu maumivu.

Waliohamia Ccm kutoka chadema wengi wao hawata pita ila wachache sana ndio watapita akiwemo yule Waitara wa Tarime.
 
Mungu wa ibrahimu , mungu wa isaba , mungu wa yakobo na mungu wa mbavusimba usimwache paulo makonda msike mkono baba wa mbinguni , watesi wake waaibike wafedheheke , tena wafadhaishwe , , paulo makonda upate ushindi wa kishindo Ameni
 
Huu mwandiko ni wa makonda kbsa...[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wa mkuu wa mkoa mstaafu wa dar
Bahati Nzuri Humu Najulikana....
Vijana Wa CCM Wananifahamu....
Tahliso enzi za kina BEATUS Mafuru na Patrobass Paschal Katambi Wananifahamu....
SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar enzi zile za kina Abubakar Asenga na Ally Hapi Wananifahamu.
Tanuri La Fikra kina Said Sambala Wananifahamu...

Mimi SI GHOST Mimi Ni Jumbe Brown.

Acheni Kumsingizia Komredi Makonda...

It's Me na Shemeji Yenu Ktka Usiku Huu Wa Maombi Kwa AJILI ya Makonda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ww umesoma hadi chuo??
 
Mungu wa ibrahimu , mungu wa isaba , mungu wa yakobo na mungu wa mbavusimba usimwache paulo makonda msike mkono baba wa mbinguni , watesi wake waaibike wafedheheke , tena wafadhaishwe , , paulo makonda upate ushindi wa kishindo Ameni
Aaaaaaaaaaamen🤲🤲🤲🤲🤲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…