Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Chief wewe inakusaidiaje kukuza uchumi wako wa kati?
 
Vip takukuru watakuwepo?
 
mara paa bashite anapita kisha anapewa waziri wa Mambo ya ndani,Wapinzani mtakoma

bashite kupita yani ni asubuh mapema yule mtoto pendwa wa baba...yan anavyopenda vyeo ivyo aingeachia ukuu wa mkoa kama babake hakumjhakikishia ushind mkuu...za chini chini makonda atakabidhiwa kijiti 2025, nchi yakibwege sana hii...
 
bashite kupita yani ni asubuh mapema yule mtoto pendwa wa baba...yan anavyopenda vyeo ivyo aingeachia ukuu wa mkoa kama babake hakumjhakikishia ushind mkuu...za chini chini makonda atakabidhiwa kijiti 2025, nchi yakibwege sana hii...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza kumpa ata tako
 
Tumeshamaliza Maombi na Bwana Wa Majeshi Anakwenda Kumtendea MIUJIZA comrade El Commandante Makonda,aaaamen aaaamen.

I don't see Him Being Voted Out As Makonda Is Visionary,talented,charismatic and a really zealout of Tanzania.
Unaweza kumpa ata tako
Asante Sana Mkuu Wangu Kurlzawa,Mungu akubariki aaamin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…