Uchaguzi 2020 Kesho ndiyo kesho kura za maoni CCM. Asiye na mwana na....jiwe!

Mungu ana kazi sana,hakika.
 
Kawe majina haya yanaweza kupita kwenda kupigiwa kura

1.Angela kizinga
2.Yusuph Mwenda
3.Gwajima
4.Kipi warioba
5.Ben Sita

Muda huu wajumbe wanavutwa chobingo tu
Huyo No. 1 hua Kizinga au Kizigha boss? Namfananisha na yule wa Boss Daissy Gen. Ltd
 
Naona unazidi kujikomba komba kwa kuwataja taja majina ili wakukumbuke kwny 'falme' zao boss.

All the best.
 
Nafatilia jimbo la ukonga maana mpaka sasa sielewi
 
Bashite, kwanini unatumia jina la kugushi? Tuanzie hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…