Kesho Ngongo kumlipua Dkt. Bashiru

Kesho Ngongo kumlipua Dkt. Bashiru

Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Naseka mpaga nigasha hipanda.
 
Mtu akikumbatia maji kama jiwe atakuwa anamatumizi mabaya ya akili, acha inyeshe tuone inapovuja...!
 
Vipi doc. Ngongo ashakinukisha naona siku insisha😳
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
 

Attachments

  • 255675451173_status_b1f02161237d4f8397841a5eb21674c3.jpg
    255675451173_status_b1f02161237d4f8397841a5eb21674c3.jpg
    45.5 KB · Views: 3
Relax mkuu mara Dr.Bashiru ni mrundi (ndio zenu kuwapa watu kesi za uraia wanapoongea tofauti),mara ni sukuma Gang!sasa nashindwa kukuelewa mkuu, jibu hoja za Dr.Bashiru kwa hoja zilizo bora zaidi, acha vitisho na uzuzu
Siends direct mkuu soma polepole utaelewa
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Machawa katika ubora wenu wenye timamu tumeshawaelewa unabadili sana Id ile wewe ni chawa tu Dk bashiru keshawatia msumari mzito
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Huna akili pimbi wewe,hayo maji unavyosema yako wap,naishi Dar Mloganzila sipati maji, umeme mgao ,unga juu, mchele juu hlf pumbavu hayawani unayeendeshwa kufikiri unakuja kutetea ujinga kisa unategemea kulishwa na hao wapuuz wenzio daaaah umenitibulia siku
 
Huna akili pimbi wewe,hayo maji unavyosema yako wap,naishi Dar Mloganzila sipati maji, umeme mgao ,unga juu, mchele juu hlf pumbavu hayawani unayeendeshwa kufikiri unakuja kutetea ujinga kisa unategemea kulishwa na hao wapuuz wenzio daaaah umenitibulia siku
Umemuerewa Ngongo?
 
Huna akili pimbi wewe,hayo maji unavyosema yako wap,naishi Dar Mloganzila sipati maji, umeme mgao ,unga juu, mchele juu hlf pumbavu hayawani unayeendeshwa kufikiri unakuja kutetea ujinga kisa unategemea kulishwa na hao wapuuz wenzio daaaah umenitibulia siku
Hii nchi ndio maana ni rahisi sana kuitawala, wengi hutumia vichwa vyao kufugia nywele badala ya kufikiri. Kama hujamuelewa mleta mada basi poa, haina noma
 
Back
Top Bottom