Kesho ni mbaya sana

Kesho ni mbaya sana

Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Umekutana na nini mkuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna jamaa flan alihamia jiran yetu hapa.... Alikuwa na mkewe mweupe sana☹️☹️
Kumbe ni kitaulo bhana msela kauziwa mbuz kwenye gunia, Sasa nikawa najiuliza🤔🤔
Kwa huu weupe kama mzungu mbona mtoto wao n mweusi ajabu, nikadhan n mambo ya Genetics

Anyway ukimya dk 1, kumpa pole dada kitaulo.... Maana alichapwa sana na wahuni sababu ya huo weupe wa kununua mwisho kuna dingi mmoja akakatia umeme.....

Hapo ndipo waebrania tukaona tumuokoe jamaa ake maana alikuwa anasalimia watu.... Tukamsanua kwa wema tu🤐
Jamaa akacheza kama pele, mwisho wa siku akaponea chupuchupu, mkewe akawa ndo hvyo tena kishaungua🤭🤭🤭

Anyway wanaume ni kusaidiana... Japo so sad ndoa ilivunjika🚶🚶
 
Back
Top Bottom