Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Hizo ni kampeni au Tamasha la Music ,maana Wasanii kama wote kutumbuiza daaah sawa bana.
 
Please aongee kile kingereza chake cha Leo nilikipenda kweli yani.
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
Kama watumishi wa serikali huitwa majina uwanjani atashindwaje kujaza uwanja? Kesho fiesta kuna wanamuziki gani nami nije?
 

😁😁😜 Jiwe katika Ubora wake.
 
Kwamba kiongozi bora ni kujua Kiingereza eeh?😂😂 Haya wewe unaekijua umelisaidia nini taifa la Tz? achilia mbali uwezekano wa wewe kuwa Rais.
Kwani Mimi nilimwambia awe comedian kwa kujaribu kuongea lugha ambayo hajawahi bata above D kwenye mitihani yake?
 
Naona tbc inatangaza timu nzima ya fiesta,na mgeni rasmi ni mzee mzima wa futuhi
 
Kuna watu wanakereka , wanaweweseka wakisikia hivi! Ila ndo hivyo tena JPM tunae sana mpaka 2025! Twendeni kesho tikaijaze Taifa tukamuoneshe yule mtembezi wa Ubelgiji! kuwa Urais sio size yake!.
 
Naona Sasa wanatafuta viwanja ambavyo wanaweza kuwafungia mageti wasitoke baada ya show kuisha
Hivi unafikili kwa Dar ni kiwanja gani kinatosha kufanyia kampeni za CCM kwa sasa! Ulitaka wakafanyie Zakhem! ambapo yule mbelgiji alishindwa kuujaza?!
 
Kwani Mimi nilimwambia awe comedian kwa kujaribu kuongea lugha ambayo hajawahi bata above D kwenye mitihani yake?
Kazana kujisifia grade nzuri za English kwenye cheti chako, zitakusaidia siku moja.
 
Hivi unafikili kwa Dar ni kiwanja gani kinatosha kufanyia kampeni za CCM kwa sasa! Ulitaka wakafanyie Zakhem! ambapo yule mbelgiji alishindwa kuujaza?!
Mna maneno ya kujikweza sana ,kabla ya kuingia ktk mchakato wa Uchaguzi si ninyi mlikuwa mkimpamba Mzee wa Watu kuwa hamna haja ya kampeni kutokana na aliyo kwisha kuyafanya !?.Sasa Dazeni nzima za Wasanii na Matangazo 24Hrs mpaka kwenye Mitaro ya Maji taka ni ya nini !?.Si mngetulia tu kusubiri kunuapisha ?
 
Wasanii gani watamsaidia kunguruma hiyo kesho? Siyo tunakuja halafu tunamkuta Peter Msechu pekee akichezesha tu kitambi na ule wimbo wake wa nyota naing'ae.
Fiesta asubuhi siku ya kazi,

Mkuu kama ni kweli basi amejitahidi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…