Kwanini na nyie msitumie wasanii kujaza vichwa?matapeli wakubwa nyie mnawalaghai wasioenda shule!.
wasanii wanatumika kujaza "vichwa" ili maccm baadae yatumie hadaa kwamba jiwe anakubalika kwasabb ya wingi wa watu wakati huo sio uhalisia.
hata Hashimu Rungwe angeambatana na kundi la wasanii naye angekuwa na nyomi kubwa tu ya watu kama ya maccm
Jibu swali acha kurukaruka, nimeamua kukubaliana na nyie kuwa kiongozi Bora ni yule anaejua Kiingereza vizuri. Sasa wewe huko uliko, Kuna kitu chochote umeisaidia Tz(kwakua unajua kiingereza)? Achilia mbali uwezekano mdogo wa wewe kuwa Raisi.Au wewe binafsi Kiingereza kimekusaidiaje hapa TZ?Huyu maimuna kaisaidia nini nchi wakiwamo kina Ben, Azory na hata wale wa kwenye viroba?
Huna hoja ya msingi.Wewe usiekijuwa umeteteaje mashekh tuliseme hili nithwawabu kwa mungu tusiipende sana dunia tuitamani ahera
Rais wa vitu akiwa na wananchi wake wanaopenda vitu! Nyie mbaki na maneno yenu matupu huko!sasa wakiondoka shida nn? kwamba wanaenda ufipa ama
! haya huyu apa bila wasanii
View attachment 1594279
Lazima wawepo maana watanzania wengi ni mijinga hata sera hawazielewi sasa bora wanavyofanya ccm kuwawekea wasanii ili waburudike.wasanii watakuepo?
msanii gani anaimba muda huu?? nataka kuja mkuuUwanja umefurika mno saa hii na watu wanaendelea kumiminika
Ka lowa ass😂na wewe kuitwq Lowa umelowa wapi?
Nenda kwenye Twitter account ya Pompeo kuna jambo lenu kule..bwa bwa bwa ..dunia haitaki dictators hasa hizi shit hole countriesNi vyote kwa mpigo wasanii ni wapiga kura wetu,wapenda matamasha nao ni wapiga kura wetu ,wapenda sera nao ni wapiga kura wetu.Tuna moblize wote na kuwapa kile roho inapenda tarehe 28 October watupe kura
Tukiziomba kura kwa wasanii na wapenzi wao na washabilki wao
After all kwa CCM KAMPENI SIO ENEO LA MSIBA NI LA FURAHA
Tulishakubalia kuto comment chochote anachopost huyu dada, hayuko sawa. Mkuu mbona unavunja makubaliano.wee mwache zake, dawa kumsusia ndo akili itamkaa sawana wewe kuitwq Lowa umelowa wapi?
Sawa pompeo , , , " upcoming elections" alijuaje kama nasi tumo. Kuna watu wanatafutwa. Lissu alisema " kuna watu wataishi Tanzania maisha yao yote, wakitoka nje wanadakwa" akiwa Mwanza majuzi kati akiongea na Wanahabari. Sas wajitie hamnazo Rob Asterdam anakusanya usahidi mpk wa OCD Hai ndani, watakoma.View attachment 1594686
Hizi ni salamu..