Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Shirikisho la mpira Tanzania, Tanzania Football Federation (TFF) Kesho linategemea kumtangaza Mdhamini mkuu wa ligi kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/2022.
Shirikisho hilo limewataka waandishi wa habari kuwepo kesho asubuhi katika ofisi za TFF zilizopo Dar es Salaam.
Hivyo kesho Mdhamini atatangazwa rasmi.
Pia soma>>>>> NBC Bank Mdhamini mkuu ligi kuu Tanzania Bara 2021/2022
Shirikisho hilo limewataka waandishi wa habari kuwepo kesho asubuhi katika ofisi za TFF zilizopo Dar es Salaam.
Hivyo kesho Mdhamini atatangazwa rasmi.
Pia soma>>>>> NBC Bank Mdhamini mkuu ligi kuu Tanzania Bara 2021/2022