Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Trust me Urio alikuwa ndiyo main witness lakini kwa ushahidi aliutoa mahakamani prosecutors wamekuwa kwenye wakati mgumu kwani mashahidi wengi wamegoma kwenda kutoa ushahidi
Inaonekana mashahidi wanakuja kwa kusukuma sukuma sana.
 
Ushahidi kwenye simu ndio ulikuwa na uzito sana lakini ukiangalia mawasilisiliano yote hakuna mahali kunathibitisha kuwa walikuwa wanapanga njama za ugaidi, na sidhani kama ilikuwa kosa Kwamba Mbowe alifanya mawasiliano na urio au wahitakiwa wengine
Kama mtu hakukamatwa kwenye simu basi tena hawampati tena Mbowe.
 
Huelewi nini aisee? nimesema shida inakuja pale wale uliokuwa unawasiliananao wanaposema haukuwa unawasiliana kwa ajili ya ulinzi tu, bali kulikuwa na njama za ugaidi pia ndani yake pamoja na mambo mengine. sasa nini huelewi hapo? akili mmetupa wapi nini? kama wale aliokuwa anawasiliana nao wanasema kulikuwa na kitu fulani, tunahitaji mashahidi wote waje ili mwenyekiti apewe nafasi ya kujitetea tusikie upande wake pia. shida yake ninyi mnaogopa mashahidi, na kama ni hivyo basi hao mashahidi wanasema ukweli. si msubiri tuone hadi mwisho? mbona tatizo dogo tu hilo kuelewa hata mtu asiyeenda shule?
Kwa maelezo yako kwakuwa waliwasiliana basi ni tayari walifanya njama za ugaidi kwakuwa aliyewasiliana naye amesema hivyo....hahaha umepitoka, walifungua kesi ni lazima wadhinitishe pasi na shaka kuwa mazungumzo yale yalikuwa ni kufanya njama za kupanga ugaidi so watadibitishaje kwa ujumbe wa sms au sauti au mbowe akiri tofauti
 
Ushahidi kwenye simu ndio ulikuwa na uzito sana lakini ukiangalia mawasilisiliano yote hakuna mahali kunathibitisha kuwa walikuwa wanapanga njama za ugaidi, na sidhani kama ilikuwa kosa Kwamba Mbowe alifanya mawasiliano na urio au wahitakiwa wengine
cha muhimu ushahidi kwamba waliwasiliana upo, hiyo inathibitisha kwamba kumbe anachokisema kuwa waliwasiliana ni cha kweli. kinachobaki hapo ni mmoja wapo wa wale waliokuwa wanawasiliana aje kusema walikuwa wanawasiliana kuhusu nini, basi, na mahakama itaona kama kuna haja ya kumuamini au la. ila kama amesema ukweli kwamba waliwasiliana na kukawa hakuna ubishi kwasababu ya print out, mahakama itashindwaje kumuamini kuhusu hicho atakachosema baadaye kuwa ndicho walikuwa wanawasiliana?
 
Trust me Urio alikuwa ndiyo main witness lakini kwa ushahidi aliutoa mahakamani prosecutors wamekuwa kwenye wakati mgumu kwani mashahidi wengi wamegoma kwenda kutoa ushahidi
prosecutors wana power sana mzee, wakiamua wanakusakizia kwa mahakama tu kwa samansi ili ukatae kwenda kutoa ushahidi uone. hujui kitu.
 
Kutoa ushahidi ni hiari, ukimlazimisha atakuja kukukana mbele ya mahakama utaaibika, lakini Mnamlazimishaje kama DCI Mstaafu
prosecutors wana power sana mzee, wakiamua wanakusakizia kwa mahakama tu kwa samansi ili ukatae kwenda kutoa ushahidi uone. hujui kitu.
 
I am glad unakubali kwamba mbowe aliwasiliana. shida inakuja pale yule uliyekuwa unawasiliana naye anapoeleza yale mliyokuwa mnawasiliana naye, na ushahidi umesimama kuwa mliwasiliana hadanganyi, kwa credibility hiyo wewe utatoa ushahidi gani kujinasua? na printout za voda, airtel na tigo zimeletwa. hapo utakuwa umeshaelewa kifuatacho.
Kwani hizo za voda na tigo zimeonyesha mwanga gani kuwa kulikuwa na njama za ugaidi?
 
Huelewi nini aisee? nimesema shida inakuja pale wale uliokuwa unawasiliananao wanaposema haukuwa unawasiliana kwa ajili ya ulinzi tu, bali kulikuwa na njama za ugaidi pia ndani yake pamoja na mambo mengine. sasa nini huelewi hapo? akili mmetupa wapi nini? kama wale aliokuwa anawasiliana nao wanasema kulikuwa na kitu fulani, tunahitaji mashahidi wote waje ili mwenyekiti apewe nafasi ya kujitetea tusikie upande wake pia. shida yake ninyi mnaogopa mashahidi, na kama ni hivyo basi hao mashahidi wanasema ukweli. si msubiri tuone hadi mwisho? mbona tatizo dogo tu hilo kuelewa hata mtu asiyeenda shule?
Wewe mpaka ushahidi ulipofikia kuna sehemu yeyote umeona kuna viashiria vya ugaidi bwashee?
 
cha muhimu ushahidi kwamba waliwasiliana upo, hiyo inathibitisha kwamba kumbe anachokisema kuwa waliwasiliana ni cha kweli. kinachobaki hapo ni mmoja wapo wa wale waliokuwa wanawasiliana aje kusema walikuwa wanawasiliana kuhusu nini, basi, na mahakama itaona kama kuna haja ya kumuamini au la. ila kama amesema ukweli kwamba waliwasiliana na kukawa hakuna ubishi kwasababu ya print out, mahakama itashindwaje kumuamini kuhusu hicho atakachosema baadaye kuwa ndicho walikuwa wanawasiliana?
Mahakama haifanyi kazi hivyo bwashee, ku-prove hizo allegations beyond reasonable doubt sio rahisi kiivyo. Eti kisa waliwasiliana kweli ndo wamuamini urio kwa tuhuma zake?
 
Kutoa ushahidi ni hiari, ukimlazimisha atakuja kukukana mbele ya mahakama utaaibika, lakini Mnamlazimishaje kama DCI Mstaafu
mzee kama wewe ni mwanasheria, angalia nini madhara ya kukaidi subpoena halafu uje uongee tena hoja hii hapa.
Section 147(1) ya Criminal Proceudre Act inasema,

Any person summoned to attend as a witness who, without lawful excuse, fails to attend as required by the summons or who, having attended, departs without having obtained the permission of the court or fails to attend after adjournment of the court after being ordered to attend, shall be liable by order of the court to a fine not exceeding five hundred shillings.
 
mzee kama wewe ni mwanasheria, angalia nini madhara ya kukaidi subpoena halafu uje uongee tena hoja hii hapa.
Section 147(1) ya Criminal Proceudre Act inasema,

Any person summoned to attend as a witness who, without lawful excuse, fails to attend as required by the summons or who, having attended, departs without having obtained the permission of the court or fails to attend after adjournment of the court after being ordered to attend, shall be liable by order of the court to a fine not exceeding five hundred shillings.
Nafikiri hujanielewa nakubaliana na hii section wala sina shida nayo, Naturally If a person can give evidence that benefits you, he or she must be willing to do so without the pressure tofauti na hapo a aweza kutoa weak evidence ambao not on your side.
 
Hebu jibu hiyo hoja kwanza, naona unanipotezea muda. ongea kama mtu basi.
Pole ndugu,
mpaka sasa hakuna ushahidi wa sms wala 'dukuu' zinazozungumzia ugaidi kama mnavyotamani iwe na dunia yote inaona. Tumaini lenu lililobakia ni hukumu ya kulazimisha kama mlivyozowea. Twawasubiri.
 
cha muhimu ushahidi kwamba waliwasiliana upo, hiyo inathibitisha kwamba kumbe anachokisema kuwa waliwasiliana ni cha kweli. kinachobaki hapo ni mmoja wapo wa wale waliokuwa wanawasiliana aje kusema walikuwa wanawasiliana kuhusu nini, basi, na mahakama itaona kama kuna haja ya kumuamini au la. ila kama amesema ukweli kwamba waliwasiliana na kukawa hakuna ubishi kwasababu ya print out, mahakama itashindwaje kumuamini kuhusu hicho atakachosema baadaye kuwa ndicho walikuwa wanawasiliana?
Hivi mnajua kwa nini mawakili wa Mbowe walijizatiti kuhakikisha maelezo ya kukiri akina Adamoo hayapokelewi? Kwa sababu ndio mzizi wa shauri hili. Kutupwa kwa pingamizi la kuomba yasipokelewe ilikuwa pigo kubwa. Iliyobaki sasa ni kuthibitisha kuwa kweli kulikuwa na mawasiliano na walikuwa wakiwasiliana nae walikiri kufanya hivyo kwa madhumuni waliyoyasema "kiri" wenyewe. Na HAWAKUTESWA wakati wakitoa mawlezo yao.
 
Hivi mnajua kwa nini mawakili wa Mbowe walijizatiti kuhakikisha maelezo ya kukiri akina Adamoo hayapokelewi? Kwa sababu ndio mzizi wa shauri hili. Kutupwa kwa pingamizi la kuomba yasipokelewe ilikuwa pigo kubwa. Iliyobaki sasa ni kuthibitisha kuwa kweli kulikuwa na mawasiliano na walikuwa wakiwasiliana nae walikiri kufanya hivyo kwa madhumuni waliyoyasema "kiri" wenyewe. Na HAWAKUTESWA wakati wakitoa mawlezo yao.
Wewe ni miongoni mwa mawakili wa upande wowote au hii ni assumption?
 
Nafikiri hujanielewa nakubaliana na hii section wala sina shida nayo, Naturally If a person can give evidence that benefits you, he or she must be willing to do so without the pressure tofauti na hapo a aweza kutoa weak evidence ambao not on your side.
actually, ushahidi wetu sisi mawakili wa kujitegemea unaweza kuukana (turn hostile) ila wa prosecution ambao wanakuwa na statement yako mfukoni, huwezi kuturn hostile kwasababu ukiea declared so, unaweza kula mvua ya miaka 5. hivyo sio kitu kirahisi hivyo kwa prosecution kurukwa na shahidi. wapi ulishawahi kuona hiyo? the only one niliona ni kwa shahidi binti wa shule aliyetwikwa mimba na alikuwa anampenda jamaa. ila wengine wote sijawahi kuona na nimekuwepo mahakamani muda mrefu sana.
 
Hivi mnajua kwa nini mawakili wa Mbowe walijizatiti kuhakikisha maelezo ya kukiri akina Adamoo hayapokelewi? Kwa sababu ndio mzizi wa shauri hili. Kutupwa kwa pingamizi la kuomba yasipokelewe ilikuwa pigo kubwa. Iliyobaki sasa ni kuthibitisha kuwa kweli kulikuwa na mawasiliano na walikuwa wakiwasiliana nae walikiri kufanya hivyo kwa madhumuni waliyoyasema "kiri" wenyewe. Na HAWAKUTESWA wakati wakitoa mawlezo yao.
hiyo ni point ya muhimu sana umeongea, I hope hawa jamaa watakuelewa. wamesahau kuwa kuna maelezo yalipokelewa hapo yanakuwa corroborated to na viushahidi kadhaa wa kadhaa. kumbuka repudiated stateement inatakiwa kuwa corroborated and corrobration yenyewe ndiyo hiyo.
 
Wewe ni miongoni mwa mawakili wa upande wowote au hii ni assumption?

Shahidi: Sababu ya Mbowe kufikishwa mahakamni tofauti na wengine ni kwa sababu nilikuwa nasubiri ripoti ya upelelezi.

Sababu inayoonyesha washtakiwa hao wamekula njama ni kwamba mshtakiwa wa kwanza hadi wa nne walikula njama za kutenda vitendo vya ugaidi ni kutokana na maelezo yao.



Sababu ya Pili ni kupitia ushahidi wa Luten Denis Urio, Askari walioandika maelezo ya watuhumiwa na Askari waliowakamata.
 
Back
Top Bottom