Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Wamethibitisha vipi huyo Soka aliitwa na polisi.
Tukisemaga hawa wanasheria wabongo wengi vihiyo inaonekana kama kejeli.
Binafsi ningeomba kwanza mahakama iamuru kampuni inayompatia huyo Soka na wenzake itoe number zilizopiga simu zao siku ya mwisho kujiridhisha kama ni number ya kituo cha polisi. Baada ya hapo ndio utoe lawama, lakini kutumia sweeping statement tu hizo ni baseless accusations hata kama kweli kuna mkono wa polisi.
Lawama za CDM kwa polisi inaweza tengeneza copycat kidnappers and killers kwa kutumia mbinu ya kupigia watu simu kujifanya wao ni polisi na kuwaambia waende mahala fulani.
Ifike wakati viongozi wa CDM wawe makini na kauli zao hasa kipindi hiki ambacho vitendo vya utekaji na mauaji vimeshamiri.
Tukisemaga hawa wanasheria wabongo wengi vihiyo inaonekana kama kejeli.
Binafsi ningeomba kwanza mahakama iamuru kampuni inayompatia huyo Soka na wenzake itoe number zilizopiga simu zao siku ya mwisho kujiridhisha kama ni number ya kituo cha polisi. Baada ya hapo ndio utoe lawama, lakini kutumia sweeping statement tu hizo ni baseless accusations hata kama kweli kuna mkono wa polisi.
Lawama za CDM kwa polisi inaweza tengeneza copycat kidnappers and killers kwa kutumia mbinu ya kupigia watu simu kujifanya wao ni polisi na kuwaambia waende mahala fulani.
Ifike wakati viongozi wa CDM wawe makini na kauli zao hasa kipindi hiki ambacho vitendo vya utekaji na mauaji vimeshamiri.