Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YaaniYaani wanaua mtu kwa ajili ya kuiba simu ya elfu 25?
nop kamanda alipigwa lisasi kitangili mwanza akiwa kwenye gar yeye na dem wakeMajamaa yanataka kuua kesi kama sikosei huyo kamanda alipigwa risasi gest au nyumban kwake
itakuwa alikamatwa kwa njia ya simu mkuu hebu soma jinsi wauaji wa msuya walivyokamatwa ili ujue polis wanavyofanya kaz kisayansiHii kesi ngumu kuelewa,ilikuaje tena Chacha aje na askari gesti?
Na ule mgogoro wa marehemu kugombea ile papuchi na yule ofisa wa uhamiaji iliishia wapi?Maana ile papuchi ilikuwa ni mjane wa ex-Ofisa mapato na walikuwa wakizuga kuwa ni ndugu na marehemu Kamanda.Mkuu huwezi kuelewa hadi muhanga awe wewe au nduguyo.
Ndugu wa karibu ni muhanga wa ujambazi wa kijinga kama huu bado kidogo afe.
Anaishi na mateso na risasi mwilini miaka mingi sasa.
Kila kitu siku hizi kibachukuliwa kisiasa au kishabiki.
kuna watu wanajitungia tu story na kukoment mkuu kwahiyo wasamehe mwingine hapo juu kadai kuwa kamanda aliuwawa gest sijui mara akiwa nyumban wakati kamanda aliuwawa akiwa kwenye gar yeye na dem wake cheupe peeHujui chochote wewe ni kati ya mabwege yanayoishi duniani kwa bahati mbaya!!
ohooo ndugu yangu hii siyo chai hapa mwanza wakurya wengi ni vibaka wa kutupa na bunduki zao hutoka kenya kwa bei chee jamaa hawapend kaz wao ni majungu na wiz ndo wanachoweza si unakumbuka kule kwwnye jukwaa la sport wanavyopigana majunguHii ni chai kabisa,hayo maelezo ni mepesi mno. Huo ujambazi wa kutumia silaha kuiba simu za 25,000 hauingii akilini.
Nimeelewa zaidi yako,ndo maana nimeuliza swali gumu mkuu.itakuwa alikamatwa kwa njia ya simu mkuu hebu soma jinsi wauaji wa msuya walivyokamatwa ili ujue polis wanavyofanya kaz kisayansi
hebu twende pole pole mkuu umeelewaje na kwanini unahis hilo swali ulilouliza ni gumuNimeelewa zaidi yako,ndo maana nimeuliza swali gumu mkuu.
Member fulani alidai kuwa jamaa ndiye alitakiwa kuwa the next IGP wakati uleFamilia yake haiamini hivyo na haiamnini watuhumiwa ndiyo waliopanga mauaji wanaamini vinginevyo, kuna mtoto wa marehemu kasoma sheria kamaliza chuo flani niliwahi sikia anasema wahusika ni watu wa system wanajulikana.
Ngoja niishie hapa....................
Tatizo mkuu kuna member kakwambia hapo familia haiamini hao ndio wauajiHayo maelezo kama ni ya kweli jiwe asaini kunyongwa tu hadi kufa,wanatafuta ushaidi wa nini tena wakati kila kitu kinajieleza.
huyo member wewe unamwaminije mzee babaTatizo mkuu kuna member kakwambia hapo familia haiamini hao ndio wauaji
Ngoja nikurudishe Mwanza.Mtuhumiwa anasema baada ya kupora wakiwa wanarudi waliona gari imewasha taa,wakaikimbilia wakijua ni pesa tu.Hapa kuna maswali pia,katika hali ya kawaida mtoke kupora halafu msiwe na hofu ya kutafutwa na msiogope gari hata kujihami tu,ndo kwanza wao wakalikimbilia gari.hebu twende pole pole mkuu umeelewaje na kwanini unahis hilo swali ulilouliza ni gumu