KESI MAUAJI YA LIBERATUS BARLOW: Maelezo yanayodaiwa ya Muganyizi yatoa ramani ya mauaji

KESI MAUAJI YA LIBERATUS BARLOW: Maelezo yanayodaiwa ya Muganyizi yatoa ramani ya mauaji

Ngoja nikurudishe Mwanza.Mtuhumiwa anasema baada ya kupora wakiwa wanarudi waliona gari imewasha taa,wakaikimbilia wakijua ni pesa tu.Hapa kuna maswali pia,katika hali ya kawaida mtoke kupora halafu msiwe na hofu ya kutafutwa na msiogope gari hata kujihami tu,ndo kwanza wao wakalikimbilia gari.

Mtuhumiwa anasema,kwenye gari walimkuta me na ke wakajitambulisha wao ni askari,marehem akawaambiwa yeye ndiye boss wao, Chacha akaamuru apigwe risasi.Hapa kuna maswali mengi.kwanza mtuhumiwa hajasema huko walipopora waliua watu kirahisi tu kama walivyomuua Barlow? Msingi wake ni kwamba majambazi huwa wanaepuka sana kuua mtu kirahisi tu kwasababu wanajua watatafutwa tu...iweje sasa waue kirahisi tu kama wanavyotaka tuamini?.

Utata ni mkubwa sana
mkuu kwa jinsi ulivyosoma hapo juu unaamin huyu jamaa ni jambaz au kibaka tu?jambaz gan anakwapua cm ya mama anayeshuka kwenye daladala? hawa jamaa itakuwa kweli waliua na itakuwa ndo walikuwa wanajifunza kuua

kwahiyo unahis polis wamewaokota jalalan na kuwapa kesi
 
huyo member wewe unamwaminije mzee baba
Mkuu, humu watu wapo wa aina mbalimbali .jamaa inaonekana kabisa anamfahamu huyo dogo pia yeye siye member wa kwanza kusema hivo emu pitia nyuzi za 2012 kihusu hii kesi member wengi wali hint kua hii issue watu wa system wanahusika hivo connect dots
 
mkuu kwa jinsi ulivyosoma hapo juu unaamin huyu jamaa ni jambaz au kibaka tu?jambaz gan anakwapua cm ya mama anayeshuka kwenye daladala? hawa jamaa itakuwa kweli waliua na itakuwa ndo walikuwa wanajifunza kuua

kwahiyo unahis polis wamewaokota jalalan na kuwapa kesi
Sasa umeanza kunielewa mkuu,lile swali langu gumu ndo linaanzia hapa.


Kwa hali ilivyo inawezekana pia hawa wakawa siyo wauaji halisi.
 
Hatar sana mkuu ngoja tuone muendelezo wake huenda kuna kitu kinafichwa
Hata mi nadhani kuna kitu zaidi na kuna watu wanafichwa ila kesi inaweza kuishia kwa hawa hawa watuhumiwa kula miaka,maana hapo ulisemwa pia ugomvi wa kugombea huyo mwanamke huyo wa pili ndo huwa hasemwi,anyway......
 
Familia yake haiamini hivyo na haiamnini watuhumiwa ndiyo waliopanga mauaji wanaamini vinginevyo, kuna mtoto wa marehemu kasoma sheria kamaliza chuo flani niliwahi sikia anasema wahusika ni watu wa system wanajulikana.
Ngoja niishie hapa....................
[emoji23] [emoji23] hatari sana!
 
Sasa umeanza kunielewa mkuu,lile swali langu gumu ndo linaanzia hapa.


Kwa hali ilivyo inawezekana pia hawa wakawa siyo wauaji halisi.
Yeah
Na mimi nimekuelewa mkuu
Nimewahisikia huko police kuna tabia mfano silaha zinatolewa stoo then wanaitwa vibaka mbele ya press wanapewa kesi wamekamatwa nazo
 
Na ule mgogoro wa marehemu kugombea ile papuchi na yule ofisa wa uhamiaji iliishia wapi?Maana ile papuchi ilikuwa ni mjane wa ex-Ofisa mapato na walikuwa wakizuga kuwa ni ndugu na marehemu Kamanda.
Kuna mengi yanafiçhwa kwenye hii kesi
 
[emoji23] kwa nini mkuu unatamani uyasome tena?
Mi natamani nirudi kusaka zile nyuzi za wakati ule Kamanda anauawa
Kuna yule Kamanda mpenda soka anayeitwa Abubakari Zebo anazo habari nyingi kuhusu hili.Ikiwa hatofanya kuwa ni siri anaweza kutoa ukweli halisi wa tukio hili.Kuna wakati kabla ya tukio alifanya mtafaruku fulani hivi na Ofisa uhamiaji ambapo pale Kitangili risasi ililia na kutoboa gari ya Ofisa uhamiaji.
 
Familia yake haiamini hivyo na haiamnini watuhumiwa ndiyo waliopanga mauaji wanaamini vinginevyo, kuna mtoto wa marehemu kasoma sheria kamaliza chuo flani niliwahi sikia anasema wahusika ni watu wa system wanajulikana.
Ngoja niishie hapa....................
hata mimi nashangaa hizi drama za Afande ft. Muganyizi na wengineo.....polisi wanaweza sana kuandika scripts za Bongo muvi.....
 
Polisi kapigwa risasi watuhumiwa wakashikwa ghafla kwa lissu hata dalili hakuna
 
haya maelezo yamenikumbusha mtu mmoja joshua mrundi (kama sijakosea) aliye enda kutubu kwa kumteka ulimboka

yaani hadithi ya kibwege sana, yaani jamaa wanahisi watanzania ni wa kudanganywa tu eti 'piga lisasi huyo' yaani kirahisi tu
 
Ni ngumu kuwatia hatini watuhumiwa.
Mngeweka cross examination alizo underwent shahidi.
 
“Tulipofika pale (kampuni ya ulinzi) Magige alimvua mlinzi silaha begani kwa amri yangu kisha nikasema tuondoke, ghafla nilipigwa na kitu kizito kichwani nikadondosha bunduki niliyokuwa nayo (inayodaiwa kumuua Barlow), tulipofika mbele nilimwambia Magige anipe silaha aliyomnyang’anya mlinzi niijaribu kama inafanya kazi, nilipoijaribisha nilikuta inafanya kazi, tuliificha kwenye shimo njia ya kwenda Gongo la mboto.
 
Back
Top Bottom