KESI MAUAJI YA LIBERATUS BARLOW: Maelezo yanayodaiwa ya Muganyizi yatoa ramani ya mauaji

KESI MAUAJI YA LIBERATUS BARLOW: Maelezo yanayodaiwa ya Muganyizi yatoa ramani ya mauaji

“Tulipofika pale (kampuni ya ulinzi) Magige alimvua mlinzi silaha begani kwa amri yangu kisha nikasema tuondoke, ghafla nilipigwa na kitu kizito kichwani nikadondosha bunduki niliyokuwa nayo (inayodaiwa kumuua Barlow), tulipofika mbele nilimwambia Magige anipe silaha aliyomnyang’anya mlinzi niijaribu kama inafanya kazi, nilipoijaribisha nilikuta inafanya kazi, tuliificha kwenye shimo njia ya kwenda Gongo la mboto.
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28]
 
Na ule mgogoro wa marehemu kugombea ile papuchi na yule ofisa wa uhamiaji iliishia wapi?Maana ile papuchi ilikuwa ni mjane wa ex-Ofisa mapato na walikuwa wakizuga kuwa ni ndugu na marehemu Kamanda.
Ofisa mapato alifariki kitambo mama akawa na pepe kale felician,barlow alivyohamia mwanza nae akarukia mzito ule sasa sijui kamada alikua anamudu pale mana sukari ilikua imemtafuna kiafya sana,tulimzika kijijini ni jirani yangu kijijini
 
“Tulipofika pale (kampuni ya ulinzi) Magige alimvua mlinzi silaha begani kwa amri yangu kisha nikasema tuondoke, ghafla nilipigwa na kitu kizito kichwani nikadondosha bunduki niliyokuwa nayo (inayodaiwa kumuua Barlow), tulipofika mbele nilimwambia Magige anipe silaha aliyomnyang’anya mlinzi niijaribu kama inafanya kazi, nilipoijaribisha nilikuta inafanya kazi, tuliificha kwenye shimo njia ya kwenda Gongo la mboto.
Kumbe hata wewe umepaona hapa eeh
 
Kuna yule Kamanda mpenda soka anayeitwa Abubakari Zebo anazo habari nyingi kuhusu hili.Ikiwa hatofanya kuwa ni siri anaweza kutoa ukweli halisi wa tukio hili.Kuna wakati kabla ya tukio alifanya mtafaruku fulani hivi na Ofisa uhamiaji ambapo pale Kitangili risasi ililia na kutoboa gari ya Ofisa uhamiaji.
Una maanisha marehemu aliwahi kutaka kumuua afisa uhamiaji ?
 
Ofisa mapato alifariki kitambo mama akawa na pepe kale felician,barlow alivyohamia mwanza nae akarukia mzito ule sasa sijui kamada alikua anamudu pale mana sukari ilikua imemtafuna kiafya sana,tulimzika kijijini ni jirani yangu kijijini
Ukute issue ni huyo mwanamke
 
Kamanda aliuwawa kirahisi sana na ilikua bahati mbaya kwake kama hayo maelezo ni ya kweli, binadamu sio wazuri mimi huwa najiamini kuwa siwezi kuja kuibiwa sababu sina tabia ya kutembea na pesa nyingi, kumbe hata elfu 20 watu wanakuua ili waichukue daaaah
Ila kamanda naye alikiuka taratibu za kazi kwa kutokua na mlinzi wala dereva
 
Ngoja nikurudishe Mwanza.Mtuhumiwa anasema baada ya kupora wakiwa wanarudi waliona gari imewasha taa,wakaikimbilia wakijua ni pesa tu.Hapa kuna maswali pia,katika hali ya kawaida mtoke kupora halafu msiwe na hofu ya kutafutwa na msiogope gari hata kujihami tu,ndo kwanza wao wakalikimbilia gari.

Mtuhumiwa anasema,kwenye gari walimkuta me na ke wakajitambulisha wao ni askari,marehem akawaambiwa yeye ndiye boss wao, Chacha akaamuru apigwe risasi.Hapa kuna maswali mengi.kwanza mtuhumiwa hajasema huko walipopora waliua watu kirahisi tu kama walivyomuua Barlow? Msingi wake ni kwamba majambazi huwa wanaepuka sana kuua mtu kirahisi tu kwasababu wanajua watatafutwa tu...iweje sasa waue kirahisi tu kama wanavyotaka tuamini?.

Utata ni mkubwa sana
Kila jambazi au kundi la ujambazi wana modus operandi ya utendaji wa makosa mkuu wengine wakiingia nyumbani kupora lazima wajisaidie haja kubwa wengine kubaka na wengine lazima waue. Mkuu usikariri ungekuwa unafanyakazi mahakamani au mwanasheria uliyebobea kesi za jinai au mpelelezi usingeshangaa hiyo modus operandi waliyotumia hao majambazi. Pia kumbuka wahenga walisema za mwizi arobani nafikiri utakuwa umepata hata kiduchu!
 
Hao jamaa niliwakuta butimba wanateseka nilikuwa nalala sero moja na huyo Magige, mbaya zaidi huyo mzee Magige alikuwa akijifanya innocent kwangu japo Kuna usalama mmoja nilikuwa nalala nae kwenye godoro moja alinibonyeza akaniambia kuwa makini na huyo mzee ana kesi nzito ya mauaji.......
 
Back
Top Bottom